Wale Wanasimba SC Wanafiki kama Haji Manara na mliokuwa mkimtetea wakati wenye Akili tulishamshtukia mnahama nae au?

Wale Wanasimba SC Wanafiki kama Haji Manara na mliokuwa mkimtetea wakati wenye Akili tulishamshtukia mnahama nae au?

Sikutegemea kitu kama hiki kinaweza kutokea.Mpenzi wa Simba ahamie Yanga au wa Yanga kuhamia Simba? Manara atakuwa na roho tofauti sana.
siku hizi hakuna upenzi wala nini kuna kitu kinaitwa (Pesa ,flusi,money ,denge,de largent,Geld,soldi) haya yote ni majina yake kama vile wachezaji katoka Bercelona kanunuliwa Real Madrid lkn tu huyu bwamdogo na huko nako yanga watammtimua subiri Simba wawafunge kiasi mara 2 au 3 uone kama hakutimuliwa aombe Yanga wwwafunge Simba lkn ole wake Simba wwafunge Yangaa.
 
Hawa watu ni wajinga sana, yaani walitegemea Haji asifanye kazi tena baada ya kufukuzwa hapo Simba!!.Halafu mjini aishije?
Mimi sioni kabisa kosa la Hajji na mpaka kiama Haji hatokuja kuwa na kosa juu ya hilo, kwasababu kaenda Yanga baada ya kufukuzwa kwa matusi mazito huko Simba Sc. Sasa sijui watu walitaka akae bila kazi Ili waendelee kumtukana?

Mimi kama shabiki wa Simba Sc na Manara sikupenda alichopitia , ivyo basi namtakia kila la kheri kwenye kazi yake mpya, na mimi nitabaki kuwa Shabiki wa Simba Sc kwa mapenzi.

Ifuke mahalo tuache unafiki, yani mtu akae bila kazi Ili kuwaridhisha mashabiki? Upumbavu wa Hali ya juu kabisa
 
Kama kweli una akili timamu,naomba unijibu hili swali hapo chini.

Baada ya Manara kufukuzwa Simba Sc kea tuhuma za usaliti, ulitegemea akae bila kazi Ili uonyeshe mapenzi yake kwa Simba Sc ambayo ilishaonyesha kudharau utumishi wake kwa miaka yote ile?

Ikiwa angeamua kukaa bila kazi Ili akuridhishe wewe na mashabiki wengine wachawi kama wewe, ungewajibika kuihudumia familia yake kwa miaka yote?

Ukifatilia kwa makini, mashabiki wengi wa Simba Sc walitaka jamaa aadhirike Ili waendelee kumcheka, kinachowauma sio yeye kwenda Yanga kinachowauma ni yeye kupata chaka jingine ilihali mlitaka awe ahehae kwakua mliamini kuwa Simba Sc ndo kila kitu kwake.
Kwani si alikuwa ana kazi huko kwa GSM , AZAM na Asas ?
Au wewe unaishi nchi isiyo na taarifa muhimu?
 
Mbona wachezaji,makocha,viongozi wanahama?Kwanini isiwe manara?Kama aliyekuwa CEO wa Simba yuko Yanga,inakuwaje ajabu kwa msemaji?
Kikubwa maslahi,mpira ni fedha!
Hapo hakuna cha usaliti wala nini,ni jambo la kawaida kwenyw mpira!
Senzo ni shabiki wa Simba?
 
Kwani si alikuwa ana kazi huko kwa GSM , AZAM na Asas ?
Au wewe unaishi nchi isiyo na taarifa muhimu?
Point yangu itabaki kuwa palepale, as long as alifukuzwa Simba Sc ni haki yake kutafuta sehemu nyingine zaidi ya kujipatia kipato.
 
Back
Top Bottom