Unatetea vichwa maji?Unakosea sana kusema bora uoe Kobe au nguruwe.
Unamkosea sana mwenyezi mungu.
Kila mtu anayo akili,
Kila mtu na jinsi alivyoumbwa,
You better think more.
Koz unaongea upuuzi tu....
[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji95] [emoji379]
Umeongea fact tupu mkuu, labda uwaambie wewe ndo watakuelewaOa mama wa wanao si bora mama. Hutakula sura wala shepu yake. Oa mwanamke ambaye hata shuleni kwa mwanao hutaitwa kwa kuwa mwanao ki..la..za. Genes matters a lot and not physiology.
Hiyo ni 25%, ni kubwa sanaWapo ila 1:4
kuna haja gani ya kuringia sura/umbo wakati "hamna kitu kichwani-dash yani"?Tatizo mnaongea weeee.... lakin vitendo hakuna.
Kuringa suna kwa mtoto wa kike[emoji108]
Poa, nasubiri thread yetu sie wenye shape na akiliChumvi Vipi?
Ndio maana wanaliwa 0713..Haahha Yani wakimuona kidume lazima wajipitishe mara kibao ilimradi waitwe
Akiwa hivyo basi huwa cha wote maana akitongozwa na wanaume 100 akiwakubali 10 au 20 atakuwa ameshangongwa na wengi.Wapo wazuri na wenye shape nzuri na akili zipo njema
Akiwa hivyo basi huwa cha wote maana akitongozwa na wanaume 100 akiwakubali 10 au 20 atakuwa ameshangongwa na wengi.
Kipururu[emoji23] [emoji23] umenikumbusha mbali sanaMkuu umerusha jiwe gizani ...atakaelalama ujue limempata asee...
Ni kweli wanadhani Shape nzuri ndio kila kitu as if linamsaidia kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kumbe upuuzi tu... Sana sana hapo ni kututega sisi wanaume wenye Kipururu a.k.a Ugwadu
Baadae wanamegwa wanaachwa halafu utawasikia '''wanaume sio watu...ooh wanaume wote ni mbuzi..mara sitaki kupendwa tena..Upendo wa Mama unatosha..n.k n.k Hahahahahaha
vigumu kumpata yaan 1 in a milionWapo wazuri na wenye shape nzuri na akili zipo njema
vigumu kumpata yaan 1 in a milion