Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Bora uoe kobe uweke ndani kuliko mwanamke
mwenye shepu kubwa kichwani ana akili za uji wa
ulezi embu fikiria mkizaa watoto wataendeshwa na
hilo shepu la huyo mwanamke alafu alivyokuwa
ana akili kama mbuzi anavyompanda mama yake
utamsikia mashaalaah nimejaliwa shepu, umejaliwa shepu kubwa kichwani huna akili hata konokono
ana shepu ni bora nioe nguruwe niweke ndani
kuliko mwanamke poyoyo..
Thread hii imeji post yenyewe kutoka dubai ikapitia
kisiwani zanzibar mpaka ikafika kwa walegwa dar es
salam kwahisani ya wachaga waishio dar
 
Mdau kila mtu ana akili sema labda kama huyo mtu hajitambui..Ila kama unampenda unaweza kumbadili mentality yake. Ndoa ni zaidi ya shape na akili.
Mkuu ni bora umtoe tongotongo mana huenda ikawa hajajua.
 
Mkuu umerusha jiwe gizani ...atakaelalama ujue limempata asee...

Ni kweli wanadhani Shape nzuri ndio kila kitu as if linamsaidia kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kumbe upuuzi tu... Sana sana hapo ni kututega sisi wanaume wenye Kipururu a.k.a Ugwadu

Baadae wanamegwa wanaachwa halafu utawasikia '''wanaume sio watu...ooh wanaume wote ni mbuzi..mara sitaki kupendwa tena..Upendo wa Mama unatosha..n.k n.k Hahahahahaha
 
Mkuu umerusha jiwe gizani ...atakaelalama ujue limempata asee...

Ni kweli wanadhani Shape nzuri ndio kila kitu as if linamsaidia kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kumbe upuuzi tu... Sana sana hapo ni kututega sisi wanaume wenye Kipururu a.k.a Ugwadu

Baadae wanamegwa wanaachwa halafu utawasikia '''wanaume sio watu...ooh wanaume wote ni mbuzi..mara sitaki kupendwa tena..Upendo wa Mama unatosha..n.k n.k Hahahahahaha
Kuna ukweli ndani ya haya uliyoyasema.
 
Na si shape tu... hata kama ana uzuri usoni kama wa malaika. Kama kichwani ni empty.... yaan 0 a.k.a hajielewi.. anaona huo uzuri ndio na shape ndio ambavyo vitampa maisha... hapo anajiloga . Hiyo shape itawashibisha wenye tamaa... lakin wanaume wenye akili na busara hawatoweza kwenda huko.
 
wanawake wenye shepu wajanja huwa hawaoi ni kwa ajili ya game tu mara nyingi huwa ni vinyumba ndogo tu
 
Umelenga penyewe mkuu, unawezajua kuwa umepata wa kushauriana mambo ya msingi maishani, kumbe ni upupu mtupu
 
Bora uoe kobe uweke ndani kuliko mwanamke
mwenye shepu kubwa kichwani ana akili za uji wa
ulezi embu fikiria mkizaa watoto wataendeshwa na
hilo shepu la huyo mwanamke alafu alivyokuwa
ana akili kama mbuzi anavyompanda mama yake
utamsikia mashaalaah nimejaliwa shepu, umejaliwa shepu kubwa kichwani huna akili hata konokono
ana shepu ni bora nioe nguruwe niweke ndani
kuliko mwanamke poyoyo..
Thread hii imeji post yenyewe kutoka dubai ikapitia
kisiwani zanzibar mpaka ikafika kwa walegwa dar es
salam kwahisani ya wachaga waishio dar
Embu tupia picha tukuelewe![emoji31]
 
Ukiona mwanamke anaringia shape muogope kama ukoma coz ni ishara ya mwanamke ambaye akili hazimtoshi,halafu hua wanapenda kuzurura bila ya sababu za msingi ili watu waone shape
 
Wewe umeoa?acha kuwadhalili Dada zetu beautiful
 
Back
Top Bottom