Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Tatizo mnaongea weeee.... lakin vitendo hakuna.
Kuringa suna kwa mtoto wa kike[emoji108]
 
Bora uoe kobe uweke ndani kuliko mwanamke
mwenye shepu kubwa kichwani ana akili za uji wa
ulezi embu fikiria mkizaa watoto wataendeshwa na
hilo shepu la huyo mwanamke alafu alivyokuwa
ana akili kama mbuzi anavyompanda mama yake
utamsikia mashaalaah nimejaliwa shepu, umejaliwa shepu kubwa kichwani huna akili hata konokono
ana shepu ni bora nioe nguruwe niweke ndani
kuliko mwanamke poyoyo..
Thread hii imeji post yenyewe kutoka dubai ikapitia
kisiwani zanzibar mpaka ikafika kwa walegwa dar es
salam kwahisani ya wachaga waishio dar
Ulikimbilia shape... Pole sana.. Mla hulwa
 
Mkuu umerusha jiwe gizani ...atakaelalama ujue limempata asee...

Ni kweli wanadhani Shape nzuri ndio kila kitu as if linamsaidia kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kumbe upuuzi tu... Sana sana hapo ni kututega sisi wanaume wenye Kipururu a.k.a Ugwadu

Baadae wanamegwa wanaachwa halafu utawasikia '''wanaume sio watu...ooh wanaume wote ni mbuzi..mara sitaki kupendwa tena..Upendo wa Mama unatosha..n.k n.k Hahahahahaha
 
Mkuu umerusha jiwe gizani ...atakaelalama ujue limempata asee...

Ni kweli wanadhani Shape nzuri ndio kila kitu as if linamsaidia kwenye kufanya maamuzi ya msingi ya kimaisha kumbe upuuzi tu... Sana sana hapo ni kututega sisi wanaume wenye Kipururu a.k.a Ugwadu

Baadae wanamegwa wanaachwa halafu utawasikia '''wanaume sio watu...ooh wanaume wote ni mbuzi..mara sitaki kupendwa tena..Upendo wa Mama unatosha..n.k n.k Hahahahahaha
Umeona eeh? Yani sijui wanakuwa wanawaza kwa kutumia makalio..
 
Na si shape tu... hata kama ana uzuri usoni kama wa malaika. Kama kichwani ni empty.... yaan 0 a.k.a hajielewi.. anaona huo uzuri ndio na shape ndio ambavyo vitampa maisha... hapo anajiloga . Hiyo shape itawashibisha wenye tamaa... lakin wanaume wenye akili na busara hawatoweza kwenda huko.
Alafu wanaume wajanja tumeshawashtukia tu.. Ndimana deile tunawaliza
 
Mwanamke mzuri haolewi ndugu yangu utalia kila siku
 
Umelenga penyewe mkuu, unawezajua kuwa umepata wa kushauriana mambo ya msingi maishani, kumbe ni upupu mtupu
Ndomana wanaishia kumegwa tu, sasa demu anawaza Starehe 24hrs unadhani kuna maendeleo hapo kweli?
 
Umelenga penyewe mkuu, unawezajua kuwa umepata wa kushauriana mambo ya msingi maishani, kumbe ni upupu mtupu
Ndomana wanaishia kumegwa tu, sasa demu anawaza Starehe 24hrs unadhani kuna maendeleo hapo kweli?
 
Utakuwa umetendwa wewe, kucha kutwa kuwasimanga tu wanawake.
 
Wanaoringia shepu inasemekana sehemu zao binafsi ndo zinaumizwa zaidi. Mwishowe wanaishia kuimba ule wimbo mpya wa mjini
"Single mama for life" , All men are the same.
Kisha wanaishia kuweka hashtag
 
Back
Top Bottom