Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Wale Wanawake Wanaoringia Shepu

Kwani huyo mdada mwenye shepu yuko humu JF??

Na anatambua kwamba hiyo ndo ID yako??
 
Bora uoe kobe uweke ndani kuliko mwanamke
mwenye shepu kubwa kichwani ana akili za uji wa
ulezi embu fikiria mkizaa watoto wataendeshwa na
hilo shepu la huyo mwanamke alafu alivyokuwa
ana akili kama mbuzi anavyompanda mama yake
utamsikia mashaalaah nimejaliwa shepu, umejaliwa shepu kubwa kichwani huna akili hata konokono
ana shepu ni bora nioe nguruwe niweke ndani
kuliko mwanamke poyoyo..
Thread hii imeji post yenyewe kutoka dubai ikapitia
kisiwani zanzibar mpaka ikafika kwa walegwa dar es
salam kwahisani ya wachaga waishio dar
Unakosea sana kusema bora uoe Kobe au nguruwe.
Unamkosea sana mwenyezi mungu.

Kila mtu anayo akili,
Kila mtu na jinsi alivyoumbwa,

You better think more.
Koz unaongea upuuzi tu....
[emoji16] [emoji16] [emoji95] [emoji95] [emoji379]
 
Wapo wazuri na wenye shape nzuri na akili zipo njema
 
Ukiona mwanamke anaringia shape muogope kama ukoma coz ni ishara ya mwanamke ambaye akili hazimtoshi,halafu hua wanapenda kuzurura bila ya sababu za msingi ili watu waone shape
Haahha Yani wakimuona kidume lazima wajipitishe mara kibao ilimradi waitwe
 
Oa mama wa wanao si bora mama. Hutakula sura wala shepu yake. Oa mwanamke ambaye hata shuleni kwa mwanao hutaitwa kwa kuwa mwanao ki..la..za. Genes matters a lot and not physiology.
 
Tatizo mnaongea weeee.... lakin vitendo hakuna.
Kuringa suna kwa mtoto wa kike[emoji108]
Aah wapi.., Demu awe anaringa alafu kichwani ziwemo sasa, sio kichwa kimejaa mchwa
 
Tatizo mnaongea weeee.... lakin vitendo hakuna.
Kuringa suna kwa mtoto wa kike[emoji108]
Aah wapi.., Demu awe anaringa alafu kichwani ziwemo sasa, sio kichwa kimejaa mchwa
 
Mdau kila mtu ana akili sema labda kama huyo mtu hajitambui..Ila kama unampenda unaweza kumbadili mentality yake. Ndoa ni zaidi ya shape na akili.
Tair ya gari ndo inabadilishikaa mkuu. Lakn jitu umekutana nalo ukubwani ssmaa Kama unamoyo uvumilie tuu
 
Wanaoringia shepu inasemekana sehemu zao binafsi ndo zinaumizwa zaidi. Mwishowe wanaishia kuimba ule wimbo mpya wa mjini
"Single mama for life" , All men are the same.
Kisha wanaishia kuweka hashtag
ndio tatizo, sikuzote ukinyimwa akili mwili ndio huwa unaumia
 
Back
Top Bottom