Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 6,346
- 14,546
Nilicheka Sana siku the beast titan anaambiwa kwenye jeshi zima kuwa makini na LeviMwamba Levi.
Ni motooooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilicheka Sana siku the beast titan anaambiwa kwenye jeshi zima kuwa makini na LeviMwamba Levi.
Ni motooooo.
Halafu akajua utani.Nilicheka Sana siku the beast titan anaambiwa kwenye jeshi zima kuwa makini na Levi
Ile story sio poa. Mtunzi alitungaNimetoka kuangalia Attack on titan aiseee watu wanatunga story
Ha ha ha Saitama anazingua Sana.One punch man
Walipokutana mara ya pili kule kwaoHalafu akajua utani.
Yule Mwamba ni habari nyingine.
Picha linaanza alipokutana nae sasa
Pale alivyomu attack beast titan. Eti akaziba shingoni, mara shwaaa macho hana, hajakaa Sawa miguu imeondoka, hajawaza vizuri mikono imecharangwa.
Yaani in matter of seconds Mwamba Levi kamchomoa jamaa, tayari kamaliza Kazi.
Nkipata time nitaanza na hii.. nimeangalia episode mbili tuuHa ha ha Saitama anazingua Sana.
Wajapan wangewekeaza huko ile animation ina rating ya 9.1Ile story sio poa. Mtunzi alitunga
Sijawahi kuwaza Idea kama ile, niliikubali sana ipo Very Unique
Sema sio nzuri sana.Nkipata time nitaanza na hii.. nimeangalia episode mbili tuu
Aah sawaa nitaichek naona wengi wanaorecommendSema sio nzuri sana.
Wako vizuri sana kwenye utunzi.Wajapan wangewekeaza huko ile animation ina rating ya 9.1
Vip ile Makonouchi uliangalia..
Kweli kama Mpenzi wa Anime.Aah sawaa nitaichek naona wengi wanaorecommend
Sawaa mkuuWako vizuri sana kwenye utunzi.
Bado sijaicheki. Naitafutia Muda nikomae nayo yote.
Ngoja nitaichek tuuKweli kama Mpenzi wa Anime.
Muhimu kumfahamu Saitama.