Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Dah JD tu 35,000
Sasa hiyo 30,000 utawapea nini?
[emoji23][emoji23] iyo nyingine wataongezea wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah JD tu 35,000
Sasa hiyo 30,000 utawapea nini?
Weka layer ya Supu ya samaki
[emoji23][emoji23] iyo nyingine wataongezea wao
[emoji23][emoji23][emoji23] acha mambo
Ukiimudu hiyo nakutunuku ile ya 1.5L
Em fanya mpango bana upate hata ka baby walker[emoji23][emoji23][emoji23] labda mnichangie sina na sijui kwendesha gari
Unapost vipi juice ya rozela kwenye uzi wa liquor?View attachment 2538333
Nitatoboa hapa kweli
Em fanya mpango bana upate hata ka baby walker
Tukiwa tunaenda kulewa uwe na uhakika wa kurudi kwako anytime
Ndiooo, huu mwaka usiishe vuta ndinga[emoji23][emoji23][emoji23] itabidi ninue ka vits kwa kweli
Unapost vipi juice ya rozela kwenye uzi wa liquor?
Ndiooo, huu mwaka usiishe vuta ndinga
Achana na wine pombe za watoto, kunywa whiskey kijanaDah umejua kunichekesha ase [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rozela? Wakati nakunywa serenget wine
Kopa, ukishindwa kulipa me na Jack Palladino tutakusaidia, muhimu upate gariAta kukopa pale showroom
Halafu sijaonja hiyo kitu siku nyingi ujue, nakunywa occasionally hasa nikiwa na walevi kama wewe🤣Ballantines
Kinywaji cha dada angu kipenzi Waseme
Sahivi ukija tena nitakunywa sambamba nawe
Najua utanirudisha nyumbani nikizima 😂😂😂
Puff puff pass leftView attachment 2536870
Yan na sweet sweet zangu zile bado unaniita mlefiii 😂😂Halafu sijaonja hiyo kitu siku nyingi ujue, nakunywa occasionally hasa nikiwa na walevi kama wewe🤣
Nitumie nauli basi mpenzi nikuje chapu🤗
Kopa, ukishindwa kulipa me na Jack Palladino tutakusaidia, muhimu upate gari
Eeee naheshimu sana hela ya mtu hasa ya nauli😘Yan na sweet sweet zangu zile bado unaniita mlefiii 😂😂
Unataka kuja lini? Najua we hautakula nauli
Majani ya muarobaini hayo nimeyakausha kwaajili ya kutibu malaria unaumwa kwani?Naomba kidogo mkuu