SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
TZ bado, majuzi nilisikia muhimbili wanaandaa mazingira waanze.Tutawaachia wanaohitaji maini wagonjwa au Tz haipo hii kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TZ bado, majuzi nilisikia muhimbili wanaandaa mazingira waanze.Tutawaachia wanaohitaji maini wagonjwa au Tz haipo hii kitu
TZ bado, majuzi nilisikia muhimbili wanaandaa mazingira waanze.
🤣🤣🤣🤣😭😭View attachment 2538333
Nitatoboa hapa kweli
Hii ndio Ulisema unakunywaga ukiwa Wavuvi camp? Mwachiluwi
Case closed... ijumaa mapemaa andaa kiwaloNdiyo unataka ninunulia [emoji23]
Nitaandaa alhamisCase closed... ijumaa mapemaa andaa kiwalo
Mi nilijua nikinywaji tu Kama Novida
Sijafatilia
Niliachana na pombe naona shetani amenirudisha kwa nguvu
Ila yafaa nini kuishi bila kunywa [emoji1787][emoji1787]
Amarula ina balaa hiyo!Napenda zaidi desperado na amarula au zanzi vingine vimenishinda
Ina harufuuuuuView attachment 2536840mke akiona nipo na hii kitu
Sema ujicontrol tu pombe isikutawale yaani unakua na addiction hadi unashindwa mambo mengine kama kuzingatia hata usafi, ukiacha pombe unakua mpweke sana na unaweza kufanya mambo ya ajabu kabisa
Amarula ina balaa hiyo!
Ukinywa uwe na baby pembeni[emoji2960]
Weekend inatakiwa isindikizwe na vitu ka hivyo🥂W.end flan hivi amazing...[emoji4][emoji1635]
Happy birthday Lenie [emoji1635][emoji482]View attachment 2546043
Nakutumia kitu kikali!Weekend inatakiwa isindikizwe na vitu ka hivyo🥂
Thank you dear🥰
Nasubiria zawadi yangu ya chupa kama hiyo, yaani iwe hivyo hivyo 😋
Yeey💃💃Nakutumia kitu kikali!