cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hiyo BT inakupaa steam ukiwa high?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2538176
Nilianza na Wine naona Haina maajabu
Huyo tukimpa hizi anazikwa [emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo BT inakupaa steam ukiwa high?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2538176
Nilianza na Wine naona Haina maajabu
Huyo tukimpa hizi anazikwa [emoji1787][emoji1787]
Mnywa ulanzi nipoo hapaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wazee wa pombe za jadi hatuna nafasi hapa [emoji17][emoji17]
Jina la hii pombe ni nzurii.Furahi day..cheers[emoji1635]
View attachment 2544687
Hiyo ndo jagermaster? Lol[emoji1634][emoji1635][emoji4]
View attachment 2561498
Hiyo BT inakupaa steam ukiwa high?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha wapi hichi man?Puff puff pass leftView attachment 2536870
Ivi hakuna madhara yeyote kupiga kali every day Ie. 1 glass per day🍷 yaan daily*365View attachment 2536811
Chat na picha ya kinywaji🥂
Ivi hakuna madhara yeyote kupiga kali every day Ie. 1 glass per day🍷 yaan daily*365View attachment 2536811
Chat na picha ya kinywaji🥂
Madhara yapo kama huli vizuri bila kusahau maji kwa wingi.Ivi hakuna madhara yeyote kupiga kali every day Ie. 1 glass per day🍷 yaan daily*365
Yeah!😊Hiyo ndo jagermaster? Lol
Hiyo ndio yenyewe mkuu!Naikubari sana hii kitu
Ushaichafua na masigara kali!Puff puff pass leftView attachment 2536870
Mkuu usije ukanywa perfume[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2536894
View attachment 2536895
Hizi unapiga taratiib huku unasindikiza na meetballs kama hautaki vile na pembeni yako kuna.....
Haijawai niacha salama hii
Mkuu unakunywa ngapi😂, mbona limoja halina shidaHaijawai niacha salama hii
Oh! Nilikua napiga hizo mbili na castle lager 4: yani hiko kimoja na bia mbili nikimaliza naagiza kingine na bia mbili zingine nakua nimemaliza kikao naondoka! Shida yake ilikua nikikaa sehemu tulivu natulia ila nikikaa na vichwa resi kesho yake tunasimuliwa maajabu ambayo hata mussa hakuyashuhudia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu unakunywa ngapi[emoji23], mbona limoja halina shida