Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

Happy friday🥃
20230505_230243.jpg
 
...Hivi mlianzaje kuvuta bangi... Sigara na kunywa pombe... Wakati huwa mnapata shida hata kumeza fundo la pombe... Istoshe havina Ladha
 
View attachment 2536811
Chat na picha ya kinywaji🥂
Kama huogopi moto wa jahanamu vipi huogopi kuanguka barabarani ukiashikwa vibaya na wanaume wenzako.
Nimewashududia wanaume wengi wakifanyiwa vibaya.
Sisi wenye akili timamu tu maisha yanakuwa magumu itakuwaje kwa wale wanaojitoa akili na kujiharibu afya zao.
 
Kama huogopi moto wa jahanamu vipi huogopi kuanguka barabarani ukiashikwa vibaya na wanaume wenzako.
Nimewashududia wanaume wengi wakifanyiwa vibaya.
Sisi wenye akili timamu tu maisha yanakuwa magumu itakuwaje kwa wale wanaojitoa akili na kujiharibu afya zao.
Wengine tunakunywa kwa kiasi, kwangu ni starehe mkuu
 
Back
Top Bottom