Wale wapenzi wa liquor (whiskey and spirits) tukutane hapa. Tupia picha ukiwa unaenjoy kinywaji chako

...Hivi mlianzaje kuvuta bangi... Sigara na kunywa pombe... Wakati huwa mnapata shida hata kumeza fundo la pombe... Istoshe havina Ladha
 
Pombe zimenishinda MIMI sipendi kushikiwa Kichwa changu ndani ya Maji mtu kanigandamiza kichwa ndani ya Maji nashindwa kupumua kifua kinauma nakosa pumzi yaan mara 1000 nile Moshi Ila pombe big NO
 
View attachment 2536811
Chat na picha ya kinywaji🥂
Kama huogopi moto wa jahanamu vipi huogopi kuanguka barabarani ukiashikwa vibaya na wanaume wenzako.
Nimewashududia wanaume wengi wakifanyiwa vibaya.
Sisi wenye akili timamu tu maisha yanakuwa magumu itakuwaje kwa wale wanaojitoa akili na kujiharibu afya zao.
 
Wengine tunakunywa kwa kiasi, kwangu ni starehe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…