π€£π€£π€£Mbona Kama zilikuwa nyingi sana?Karangaπ
Hats off mkuu!..cheersπ₯Team Grants tunaendelea kukimbiza tu humu ndani..View attachment 2536891
Acha tu napenda sana karanga. Zinasaidia sana kupunguza kileviππ€£π€£π€£Mbona Kama zilikuwa nyingi sana?
Nawaona nawaona!wa tatu wewe nahesabu tuπ πTeam Grants tunaendelea kukimbiza tu humu ndani..View attachment 2536891
Unayatunza ili yaje kuliwa na mchwa ukifa.Kataa vilevi
Kataa walevi
Tunza main na figo yako
Tunza afya yako
π
Kumbe nazo dawa Nilikuwa sijui!nimezoea popcornAcha tu napenda sana karanga. Zinasaidia sana kupunguza kileviπ
Anataka akayaonyeshe mbinguni akifikaπ€£π€£Unayatunza ili yaje kuliwa na mchwa ukifa.
Ukinywa huku unakula karanga hulewi haraka!..jaribu utaonaKumbe nazo dawa Nilikuwa sijui!nimezoea popcorn
Hii ndo mnayosemaga ni kama Hennessy??View attachment 2536840mke akiona nipo na hii kitu
Leo nitatestUkinywa huku unakula karanga hulewi haraka!..jaribu utaona
Vipi..wewe ni wale wa juice ya embe??Nawaona nawaona!wa tatu wewe nahesabu tu[emoji28][emoji28]
Mkuu hii unakunywaga hadi kiasi gani maximum??Hii kitu tamu sanaaa!..inashuka tu[emoji1635]View attachment 2536888
Kwenye Bible Mithali 4:23 tumesisitiziwa Sana kutunza na kulinda Moyo zetu kuliko chochote,maini na Figo having tatizo mpenzi!ππKataa vilevi
Kataa walevi
Tunza main na figo yako
Tunza afya yako
π
Itakua sio mzoefu, kunywa nyepesi nyepesi kwanzaNiliwahi test nililewaa
One bottle per day mkuu!Mkuu hii unakunywaga hadi kiasi gani maximum??
Kwenye Bible Mithali 4:23 tumesisitiziwa Sana kutunza na kulinda Moyo zetu kuliko chochote,maini na Figo having tatizo mpenzi!ππ
Bora mninyonge!muache kuupongeza Moyo wangu mie juice ya embe mi mgonjwa? π€£Vipi..wewe ni wale wa juice ya embe??