Basi turudi tu kwenye maji na Alvaro πSasa hujui mi bado mwanafunzi[emoji23]
Juzi yenyewe kidogo niimbe mapambio bora nilistop[emoji125]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
πππ
Hao maboss wa Ractis?Acha uogaπ€£π€£
Maboss wapo wengi huku, hao wakizingua humu huwezi kosa kazi
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hao maboss wa Ractis?
Unamtumia tu CV
Hajamake step yoyote anaanza sambaza nchi zima amekuajiri.
[emoji28]ah hapa unamuonea babe wangu banaBaby wako huyo Jack Palladino ndio alaumiwe
Kumbe nazo dawa Nilikuwa sijui!nimezoea popcorn
tatizo ya hii ni kale kaharufu.View attachment 2536840mke akiona nipo na hii kitu
Ningemalizie ile ya pili ningelewa ni vile nilibakisha nusu baada ya kuona daliliBasi turudi tu kwenye maji na Alvaro [emoji23]
Mbona bado nilikuona uko vizuri? Haukulewa hata
tatizo ya hii ni kale kaharufu.
Hayo maini na figo uyatunze kwani we mbuzi au Ng'ombe ? ,Unatunza maini kesho unapata ajari mbaya ya gari unakufaπKataa vilevi
Kataa walevi
Tunza main na figo yako
Tunza afya yako
π
Hayo maini na figo uyatunze kwani we mbuzi au Ng'ombe ? ,Unatunza maini kesho unapata ajari mbaya ya gari unakufaπ
I wasn't serious bana.Sijapendaaa
Kweli tena, me nilikua nakunywa mirinda nyeusi
Maboss wa mchongoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Ngoja kwanza nicheke
Tutaona next time..Ningemalizie ile ya pili ningelewa ni vile nilibakisha nusu baada ya kuona dalili
Ila walevi sio watu wazuri wana ushawishi sana
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Kwahio unaogopa kutangazwa au πHao maboss wa Ractis?
Unamtumia tu CV
Hajamake step yoyote anaanza sambaza nchi nzima amekuajiri.
Babe Jack Palladino mbinguni utafika kwa tabu sanaKweli tena, me nilikua nakunywa mirinda nyeusi
I wasn't serious bana.