Wale wapenzi wa Perfume/Body Spray, tukutane hapa

Wale wapenzi wa Perfume/Body Spray, tukutane hapa

Cytochrome p450

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
5,638
Reaction score
15,044
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza..

Nimeona kuna umuhimu kwa wadau tunaopenda masuala ya UNYUNYU kukutana hapa na kujuzana ni aina gani ya Perfume/Body Spray(s) kali ambayo(zo) tumewahi kutumia.

Nianze tu, mimi ni mpenzi zaidi wa Perfume kuliko Body Spray.

Mpaka sasa nimeshatumia Perfume nyingi sana lakini kuna Perfume mbili (2) ambazo mpaka sasa ndani kwangu zipo na zikiisha nafanya replacement tu.

1. ATOM: Ipo kwenye kichupa kidogo tu, huwa nanunua K/koo Tsh. 25,000/-
Hii perfume ina harufu nzuri sana. Kwangu mimi ni No.1.
Yani hii ikiisha leo kesho naenda kuipulizia mjini!

2. DOLBY. Hii nilianza kutumia kama Body Spray, nikaja kusikia kuwa ipo Perfume yake. Ndo mpaka leo nipo nayo.
Huwa sometimes nachanganyia na mzigo wa ATOM, mambo yanaenda sawa kabisa.

Ko wadau, karibuni tujuzane aina kali za Perfume, na kuhusu michanganyo (Perfume/Body Spray zipi zinafaa kuchanganyia), n.k.
 
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza..

Nimeona kuna umuhimu kwa wadau tunaopenda masuala ya UNYUNYU kukutana hapa na kujuzana ni aina gani ya Perfume/Body Spray(s) kali ambayo(zo) tumewahi kutumia.

Nianze tu, mimi ni mpenzi zaidi wa Perfume kuliko Body Spray.

Mpaka sasa nimeshatumia Perfume nyingi sana lakini kuna Perfume mbili (2) ambazo mpaka sasa ndani kwangu zipo na zikiisha nafanya replacement tu.

1. ATOM: Ipo kwenye kichupa kidogo tu cha glass (Round), huwa nanunua K/koo Tsh. 25,000/-
Hii perfume ina harufu nzuri sana. Kwangu mimi ni No.1.
Yani hii ikiisha leo kesho naenda kuipulizia mjini!

2. DOLBY. Hii nilianza kutumia kama Body Spray, nikaja kusikia kuwa ipo Perfume yake. Ndo mpaka leo nipo nayo.
Huwa sometimes nachanganyia na mzigo wa ATOM, mambo yanaenda sawa kabisa.

Ko wadau, karibuni tujuzane aina kali za Perfume, na kuhusu michanganyo (Perfume/Body Spray zipi zinafaa kuchanganyia), n.k.
Dolby ni nzur
 
Nani ashawahi kuitumia hii?
images (1).jpeg
 
@Da’Vinci

Wanasema utumiaji wa perfume ya aina moja unaweza kudetermine personality ya mtu.

Na kwa mujibu wa taarifa za kijenetiki, asilimia kubwa ya wanadamu wanaozaliwa hurithi akili kutoka kwa mama na sehemu kubwa ya personality kutoka kwa baba zao (Sio fundamental lakini, sababu kuna factors nyingi zinazojenga akili na personality ya mtu)

I'm pretty sure hiyo umerithi kutoka kwa mzee wako[emoji16]

Nimesema tu mkuu! and ofcoarse naweza kuwa wrong vile vile.
 
Nilianza na body spry inaitwa Bellagio lakin nikaachana nayo bada ya kupata manzi mmoja aliyekuwa anatumia perfume moja inaitwa Alfares nikaipenda sana na mi nikaanza kuitumia hii nayo ni nzuri sana inakaa muda mrefu, nilipoachana na yule demu baada ya kuniletea mazongezonge sasa hivi natumia body spry inaitwa Global Man iko poa sana kwa upande wangu......

Hata na nyinginezo nimepitapita nazo kama hiyo Dolby, nikatumia inaitwa black silver, nikatumia inaitwa na nyinginezo nyiiingi nimezisahau lakini zilizo bora kwangu ni hizo tatu za juu
 
Bahati mbaya not that much. Vitu ambavyo naona mm naye twaendana ni 1. Tunapenda kitu kimoja tu. (Baba akipenda kitu basi kila siku ni hicho hicho. Eg..Alikua anapenda album ya Ombea adua zako aishi siku nyingi. Tulimkoma, kuna series fulani aliipenda kila alikua akikaa aangalie tv anaangalia hiyo hiyo. Akiwa na fundi wake mi huyo huyo tu..) Nami nimefuata hilo najiona Napenda kua Loyal to something. Especially when will come to love someone She will be the One. I can n I must.

2. Akiamua kitu kaamua (Dingii akipanga kitu lazima afanye, hata ushauri vipi lazima afanye.)
Ni hayo tu mengine yote sitaki kujifunza toka kwake
Aha! Nakubali mkuu.
#Respect[emoji109]
 
Nilianza na body spry inaitwa Bellagio lakin nikaachana nayo bada ya kupata manzi mmoja aliyekuwa anatumia perfume moja inaitwa Alfares nikaipenda sana na mi nikaanza kuitumia hii nayo ni nzuri sana inakaa muda mrefu, nilipoachana na yule demu baada ya kuniletea mazongezonge sasa hivi natumia body spry inaitwa Global Man iko poa sana kwa upande wangu......

Hata na nyinginezo nimepitapita nazo kama hiyo Dolby, nikatumia inaitwa black silver, nikatumia inaitwa na nyinginezo nyiiingi nimezisahau lakini zilizo bora kwangu ni hizo tatu za juu
Dah! Mkuu ulivyotaja Black Silver umenikumbusha unyunyu mmoja hivi niliwahi kutumia mara moja hapo nyuma kidogo.

BLACK MOUNTAIN.

Nilisahau kuuweka.
Nimeutafuta sana miezi iliyopita bila ya mafanikio.
 
[emoji23][emoji23] mkuu hiyo perfume au vumbi la perfume.. Perfume inaishaje saa 1.

Ko ikawaje sasa, ukawa unatembea nayo kwenye begi ikianza kupotea tu unarenew au?
Mkuu kwa enzi zile pafyumu nilikua natembea nayo kwenye begi.
 
Back
Top Bottom