Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
- Thread starter
- #21
Aha hapo sawaMkuu kwa enzi zile pafyumu nilikua natembea nayo kwenye begi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aha hapo sawaMkuu kwa enzi zile pafyumu nilikua natembea nayo kwenye begi
Sijawahi kuisikia hii. Kwa kuwa inatumiwa na wengi, basi itakuwa nzuri tu..Creed Aventus dho kwa sasa naona watu wengi wanaitumia nafkiria kubadilisha
Tofauti ni nini?Ni perfume hii au spray?
Nikionaga mtu anazungumzia udi, nahisi ni wale wanaofugaga majini ambao wao huyaita "Majini wazuri".spray natumia maryam sababu niko na udi wake hivo nikifukiza nachanganyia na spray yake
kwa perfume ni active woman iko poa sana hasa harufu yake
Hii nimewaona hadi wanaume wakiitumia kwenye kuchanganyia. Harufu yake iko poa.spray natumia maryam sababu niko na udi wake hivo nikifukiza nachanganyia na spray yake
kwa perfume ni active woman iko poa sana hasa harufu yake
[emoji23][emoji23]au sioNikionaga mtu anazungumzia udi, nahisi ni wale wanaofugaga majini ambao wao huyaita "Majini wazuri".
Mkuu sina utaalam sana na hayo mambo, ila ninachojua kwa ufupi, Perfume ina concentration kubwa kwenye solution yake ukilinganisha na body spray.Tofauti ni nini?
Hii ni kweli.. Kuna harufu moja ya perfume jamaa wangu alikuwa akipenda kutumia kupaka, ilikua inakera kichizi.Blue 4Men,25,000/= tu inadumu kwenye nguo zaidi ya masaa 24 ni vile sirudii nguo navaa mara moja but nahisi inaweza kusogea zaidi ya hapo.
Mwaka wa kumi na sita huu naitumia but nilishawahi kujaribu kuibadilisha ila sijapata mbadala wake,kingine ajabu ya perfumes anaweza kutumia aina hii mwenzako ukaisikia harufu yake ilivyo nzuri then aina hiyo hiyo ukaitumia wewe ukahisi harufu tofauti kabisa.
mimi sifugi majini banaNikionaga mtu anazungumzia udi, nahisi ni wale wanaofugaga majini ambao wao huyaita "Majini wazuri".
hio maryam?? duhHii nimewaona hadi wanaume wakiitumia kwenye kuchanganyia. Harufu yake iko poa.
Mkuu hii inauzwaje, inaonekana iko vizuri hata kwa muonekano wake tuBlack Mountain PerfumeView attachment 1491746
Niliinunua Zanzibar.Mkuu hii inauzwaje, inaonekana iko vizuri hata kwa muonekano wake tu