Wale wawekezaji wa MTFE wapigwa na kitu kizito hela hazitoki

Ila mpo serious au maana Kuna ndugu yangu aliweka million mbili,alikuwa anafanya biashara ya wakala na mcheki Jana aniwekee 20k kaniambia kafunga biashara na Hana hela,asije akawa aliweka hela yote mpaka mtaji ๐Ÿฅบ
 
Ila mpo serious au maana Kuna ndugu yangu aliweka million mbili,alikuwa anafanya biashara ya wakala na mcheki Jana aniwekee 20k kaniambia kafunga biashara na Hana hela,asije akawa aliweka hela yote mpaka mtaji ๐Ÿฅบ
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ