GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Utasubiri sanaUkiona turubai limehamia nyumba nyingine hayo ndio majibu ya swali lako.
Waafrika bhana!,sasa kukagua mwili kunatufanyaje tuonekane gizani?,Mbona Polisi na Waganga wa Mahospitalini wanakagua miili yetu tukiwa tumekufa na hatusemi chochote?.Waafrika ifike mahala tuache kuona km kila kinachofanywa kadiri ya taratibu za kiafrika ni ushamba,Kwa Taarifa yako hata Ulaya wana Mambo yao ya Kimila.Acha kumezwa na Ukoloni Mambo leo.Kumbe waliomba mwili ili wamkague?
Kuna mahala mila zetu zinatufanya tuonekane bado tupo gizani
Usijitowe akili, heshimu mila za watu, hapo ni wapi wamesema wamkaguwe? Au unadhani wazungu hawana mila?Kumbe waliomba mwili ili wamkague?
Kuna mahala mila zetu zinatufanya tuonekane bado tupo gizani
Jinga hilo, ubongo umejaa fungus.Waafrika bhana!,sasa kukagua mwili kunatufanyaje tuonekane gizani?,Mbona Polisi na Waganga wa Mahospitalini wanakagua miili yetu tukiwa tumekufa na hatusemi chochote?.Waafrika ifike mahala tuache kuona km kila kinachofanywa kadiri ya taratibu za kiafrika ni ushamba,Kwa Taarifa yako hata Ulaya wana Mambo yao ya Kimila.Acha kumezwa na Ukoloni Mambo leo.
😁😁Ukiona turubai limehamia nyumba nyingine hayo ndio majibu ya swali lako.
kuna tukio moja nimewahi lishuhudia lilihusisha wazee wakubwa tuUkiona turubai limehamia nyumba nyingine hayo ndio majibu ya swali lako.
Habari ya Rwanda Mkuu.Halafu mbona Kipindi chote alichokuwa Hai hamkuwahi kutuambia Watanzania kuwa Yeye ( Marehemu Membe ) ni Chief ( Mtemi ) wa Kabila la Wamwela?
GENTAMYCINE nasubiri majibu yenu juu ya kile mlichokikuta baada ya Kuomba sana mkabidhiwe huo Mwili wake.
Imani za Kishirikina zitawamalizeni.
Uambiwe wewe kama nani wao?Halafu mbona Kipindi chote alichokuwa Hai hamkuwahi kutuambia Watanzania kuwa Yeye ( Marehemu Membe ) ni Chief ( Mtemi ) wa Kabila la Wamwela?
GENTAMYCINE nasubiri majibu yenu juu ya kile mlichokikuta baada ya Kuomba sana mkabidhiwe huo Mwili wake.
Imani za Kishirikina zitawamalizeni.
NAKAZIA.Waafrika bhana!,sasa kukagua mwili kunatufanyaje tuonekane gizani?,Mbona Polisi na Waganga wa Mahospitalini wanakagua miili yetu tukiwa tumekufa na hatusemi chochote?.Waafrika ifike mahala tuache kuona km kila kinachofanywa kadiri ya taratibu za kiafrika ni ushamba,Kwa Taarifa yako hata Ulaya wana Mambo yao ya Kimila.Acha kumezwa na Ukoloni Mambo leo.