Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Wapi wamesema wakishakagua watakupa matokeo/Majibu au unatamani kuwa Mwera.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?Kile kilichofanyika UK juzi Kati kumsimika mfalme sio Mila potofu, Mila potofu Ni kukagua mwili wa mpendwa wao.
Mbona wakuria mna Mila potofu za kuwapiga wake zenu na kuwafanya second class citizens lkn hatuwasemi? Je hii Mila yenu ya kuwakeketa watoto wenu wa kike na kuwanyima starehe pekee walio jaliwa na muumba sio potofu? Charity begins at home.
Shemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?
yani umeona dunia nzima ni wakurya tu ndio hukeketa?
Yeah ipo wilaya ya liwale kijijini kinaitwa mpiga miti, TOKA liwale mjini hadi huko kwa pipik ni kama elfu thelathini hivi maana hakuna gari ya usafiriHivi Ngende IPO Lindi!?? Samahani nje ya mada!!
Sasa unataka wawe wagumu ili iweje? kama ni urahisi mnao wote wawili kubabakoShemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.
Hawa wazee walikqbidhiwa maiti saa 9:00 alasiri -6:00 usiku,masaa yote hayo walikuwa wanamfanyia nn maiti!?Usijitowe akili, heshimu mila za watu, hapo ni wapi wamesema wamkaguwe? Au unadhani wazungu hawana mila?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Hii ndio inaitwa kua uoneWanachakata majibu ya postmotam ya kimila
Kumbe huyu jamaa sio chizi. Anajitoa akili tu.Uambiwe wewe kama nani wao?
Machifu wote wa Tanzania huwa unatangaziwa?
Inawezekana kuwa wamegundua kuwa hakupenda 'barakuvaa'!Halafu mbona Kipindi chote alichokuwa Hai hamkuwahi kutuambia Watanzania kuwa Yeye (Marehemu Membe) ni Chief (Mtemi) wa Kabila la Wamwela?
GENTAMYCINE nasubiri majibu yenu juu ya kile mlichokikuta baada ya Kuomba sana mkabidhiwe huo Mwili wake.
Imani za Kishirikina zitawamalizeni.