Wale Wazee wa 'Kimwela' mlioomba mpewe Mwili wa Membe je, baada ya Kuukagua mmegundua nini?

Wale Wazee wa 'Kimwela' mlioomba mpewe Mwili wa Membe je, baada ya Kuukagua mmegundua nini?

Kile kilichofanyika UK juzi Kati kumsimika mfalme sio Mila potofu, Mila potofu Ni kukagua mwili wa mpendwa wao.
Mbona wakuria mna Mila potofu za kuwapiga wake zenu na kuwafanya second class citizens lkn hatuwasemi? Je hii Mila yenu ya kuwakeketa watoto wenu wa kike na kuwanyima starehe pekee walio jaliwa na muumba sio potofu? Charity begins at home.
Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?

yani umeona dunia nzima ni wakurya tu ndio hukeketa?
 
Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?

yani umeona dunia nzima ni wakurya tu ndio hukeketa?
Shemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.
 
Hivi Ngende IPO Lindi!?? Samahani nje ya mada!!
Yeah ipo wilaya ya liwale kijijini kinaitwa mpiga miti, TOKA liwale mjini hadi huko kwa pipik ni kama elfu thelathini hivi maana hakuna gari ya usafiri
 
Shemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.
Sasa unataka wawe wagumu ili iweje? kama ni urahisi mnao wote wawili kubabako
 
Uambiwe wewe kama nani wao?

Machifu wote wa Tanzania huwa unatangaziwa?
Kumbe huyu jamaa sio chizi. Anajitoa akili tu.

Mbona hii post ya mama hajaijibu?? Kaipata kama haioni.

Wengine ni matusi kwa kwenda mbele.


Mtukane mama watu wararecna wewe mbereeee muraaa
 
Halafu mbona Kipindi chote alichokuwa Hai hamkuwahi kutuambia Watanzania kuwa Yeye (Marehemu Membe) ni Chief (Mtemi) wa Kabila la Wamwela?

GENTAMYCINE nasubiri majibu yenu juu ya kile mlichokikuta baada ya Kuomba sana mkabidhiwe huo Mwili wake.

Imani za Kishirikina zitawamalizeni.
Inawezekana kuwa wamegundua kuwa hakupenda 'barakuvaa'!
 
Back
Top Bottom