Wale Wazee wa 'Kimwela' mlioomba mpewe Mwili wa Membe je, baada ya Kuukagua mmegundua nini?

Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?

yani umeona dunia nzima ni wakurya tu ndio hukeketa?
 
Mbona umelala sana na wakurya we mrisya?

yani umeona dunia nzima ni wakurya tu ndio hukeketa?
Shemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.
 
Hivi Ngende IPO Lindi!?? Samahani nje ya mada!!
Yeah ipo wilaya ya liwale kijijini kinaitwa mpiga miti, TOKA liwale mjini hadi huko kwa pipik ni kama elfu thelathini hivi maana hakuna gari ya usafiri
 
Shemeji usichukie. Wanawake wa kikurya ndio Niko karibu nao na ndio warahisi. Hutupi ndoana Mara mbili.
Sasa unataka wawe wagumu ili iweje? kama ni urahisi mnao wote wawili kubabako
 
Uambiwe wewe kama nani wao?

Machifu wote wa Tanzania huwa unatangaziwa?
Kumbe huyu jamaa sio chizi. Anajitoa akili tu.

Mbona hii post ya mama hajaijibu?? Kaipata kama haioni.

Wengine ni matusi kwa kwenda mbele.


Mtukane mama watu wararecna wewe mbereeee muraaa
 
Inawezekana kuwa wamegundua kuwa hakupenda 'barakuvaa'!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…