Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Wana jamvi kwema,

Leo nimeona niwajulie hali hawa ndugu zetu wenye BSc na BA na degree nyinginezo, vipi maisha yanaendaje baada ya kuhudhurishwa na kutunukiwa Shahada yako.

Vipi mategemeo uliyo kuwa nayo, yame kuwa sawa na uhalisia huko duniani? Je, kati ya BSc na BA ipi imekusaidia angalau kwenye kujikwamua nje ya ajira, yaani kujiajiri au kutumia ujuzi wako ulio upata kutatua changamoto mbalimbali za maisha.

Asamaleko.
 
Huku mtaani wenye D mbili ndio wanakimbiza hatari.
 

Attachments

  • FB_IMG_1716640720560.jpg
    FB_IMG_1716640720560.jpg
    47.7 KB · Views: 17
Nyie wenye std 7 na form 4 na form 6 na diploma mna hali gani kwani?


Hizo hali mlizonazo ndiyo na sisi ivoivo tunazo...


Nature haijawahi kumuacha mtu salama, regardless ya elimu yako ila mwisho wa siku nature itawafanya muwe na tofauti ndogo sanaa
 
Nyie wenye std 7 na form 4 na form 6 na diploma mna hali gani kwani?


Hizo hali mlizonazo ndiyo na sisi ivoivo tunazo...


Nature haijawahi kumuacha mtu salama, regardless ya elimu yako ila mwisho wa siku nature itawafanya muwe na tofauti ndogo sanaa
Naona umeamua kujipa matumaini kidogo mkuu usije kufa na PTSD. Kwa sababu kukaa miaka 7 bila ajira tangu utunukiwe Shahada yako hiyo sio mchezo.
 
Naona umeamua kujipa matumaini kidogo mkuu usije kufa na PTSD. Kwa sababu kukaa miaka 7 bila ajira tangu utunukiwe Shahada yako hiyo sio mchezo.
PTSD wanapataga watoto wa mama, watoto nyoronyoro.

Akina siye tuliosoma "KWA SABABU ZIMO" wala hatupatagi shida.

Yani umesoma na kupata degree kwa sababu ya kupambana kivyako, siyo kwa sababu ya juhudi za wazazi.

Sisi huwa hatuna cha kupoteza..
 
Back
Top Bottom