Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #41
Wewe degree yako ni yakusifia sifia kama Mwijaku huna lolote, nje ya kuajiriwa wenye degree ni takataka tuu.Watu wengi ambao hawana degree huwa wana wasiwasi sana... kamwe msomi hawezi kuwa sawa na asiyesoma. Kwenye suala la hela msomi ana nafasi nyingi zaidi ya kupata kuliko mtu wa darasa la 7. Na wengi ambao hawana degree wana maisha magumu kulinganisha na wenye degree.
Hao darasa la saba unao wabagaza hapa ndio wenye biashara kubwa huko kariakoo na kwingineko na wame waajiri nyie na hizo degree zenu.