Wale wenye mahusiano ya Mahaba jf KE/ME,, Mpunguze kusifiana kupita maelezo,, mnasababisha sie tulio Single ME/KE tunaanza kutamani yaliyomoyamo?

Haswaaa nataka nikohoe na ile ya kupaliwa na maji

Ila sasa Kush anasema nayeye itampa hasira na mzuka wa kutaka kujua yaliyomo yamo? Ndio uoga wa kukohoa unaingia hapo sasaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hahahaaa. Basi usikohoe endelea kugugumia Sesten. 😜😜
 
Hajar popote ulipo ukuje huku Kush kama katoa baraka flani hivi sijazielewaelewa, uje usaide kuchanganua na kufanya uchambuzi sanifu na upembuzi yakinifuπŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜›πŸ˜›πŸ˜‰πŸ˜‰
Hahahaaa. Lol.

Ndio uzielewe elewe sasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ila kugugumia ukija kupaliwa dah, dunia nzima itajua kua ulikua wanywa maji kimyakimya..lakini kuna ubaya wakijua? Nadhanikila mtu hua anakunywa maji kukata kiu yake
kupaliwa itakuwa bahati mbaya.

Hakuna ubaya japo kwa Kaka Kush anauona ubaya upo sababu anadolishiwa. Ni kweli usemalo Sesten.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…