Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Penzi linataka kudukuliwa?!πππ[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huo sio mwandiko wa mume wangu MO11
Utawezaji kulificha? Wakohoage tu wapendanaoHahahaaaa. Lakini anatakiwa ajue siku zote penzi ni kikohozi.
πππNaona umemua kumchoma Kush.
Sababu ile ni zaidi ya kutonesha kidonda cha watu kubebishana kwake. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Genuine and real MadameWengine ni real
Hahaaa. Lol.Naona mmenirushia ndege wangu [emoji4]
Furahi tu jamaani Sesten. Maana ukifurahi weye ni sawa nimefurahi na mie. ππππππNajikuta nimefurahi tu kwa comment yako Hajarπππ
Hahaaa. Ndio hapo sasa.Utawezaji kulificha? Wakohoage tu wapendanao
πππ, Bichwa langu linakua kuuuubwa kwa kauli yako hiyo murua na mujarabu kabisa HajarFurahi tu jamaani Sesten. Maana ukifurahi weye ni sawa nimefurahi na mie. ππππππ
Haswaaa nataka nikohoe na ile ya kupaliwa na majiHahaaa. Ndio hapo sasa.
Hivyo na weye Sesten wataka ukohoe ili umdolishie Kaka Kush?
hahaha hahaha mkuu we oa tu, [emoji23] [emoji23] [emoji23] natania tu Sesten ZakazakaHaswaaa nataka nikohoe na ile ya kupaliwa na maji
Ila sasa Kush anasema nayeye itampa hasira na mzuka wa kutaka kujua yaliyomo yamo? Ndio uoga wa kukohoa unaingia hapo sasaπππ
aiseeh mkianza yale ya hadharani, wallah ntatamani yaliyomoHahaaa. Ndio hapo sasa.
Hivyo na weye Sesten wataka ukohoe ili umdolishie Kaka Kush?
kudukuaPenzi linataka kudukuliwa?!πππ
onaaa sasa[emoji23]My babe A mi luv u
Nikioa itabidi tufanye mkataba wa amani mkuu, mkataba wa kutoshambualiana, mkataba wa ujirani mwemaπππππhahaha hahaha mkuu we oa tu, [emoji23] [emoji23] [emoji23] natania tu Sesten Zakazaka
leo wapi DompoNiambie mzee baba