Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

Wale wenye ndoa zenu ila mpo "single......"

Siku hizi wanawake tunafocus kwenye kujipa furaha yetu sisi wenyewe, tofauti na zamani. Tunajitoa out, tunajipeleka shopping... whatever makes us happy.

We don't stay up late wondering where your sorry ass is.

We stay up late working on our side hustles building up empires on our own.

Na hapo ndo mnarudi kuja kulia lia humu kwamba tumekuwa wajeuri tukishapata hela.

Kumbe kule tu kuwapotezea visa vyenu kunatosha tu.

Nyie ndo wa kujitathmini 2022. Because we are not quitting on ourselves anytime soon.
sasa ndoa ya namna hiyo ni ya kazi gani? why stay? ndoa ni Upendo, Heshima, Amani na Furaha ya pamoja, sasa inapofikia stage ya kusema najipa furaha mwenyewe hiyo si ndoa tena, kwanini usitoke ukaanze upya na kuwa really happy
 
Kwa wanawake wote ambao mmeolewa.....

Mko kwenye ndoa zenu.......

Na mashati yenu ya vitenge sare sare na waume zenu.............

Salamu kwenu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Nyie mlio kwenye ndoa zenu....lakini bado mpo ingle....

Yaani single but married (wenye viinglish vyenu pia mnywe maji mengi tu mtulie)

Mkisaidiana na wale ambao wapo lonely but married

Mjipige kifua mara tatu...... mfanye maamuzi na mapinduzi ya mwaka 2022.

Wale ambao hamna wa kuzungumza nae wala kucheka nae....ingawa mliosaini nao vyeti mnalala nao kitanda kimoja ..... jipepeeni tu

Wale ambao ndio mastriker.....mnalisha familia nyinyi.....mnalea watoto nyinyi...ila mnakumbatia mito wakati wapenzi wenu wakiwa busy kuchat na wapenzi wao (hahahahahahahahah) vuteni shuka mbu wasiwangate, wale ambao waume zenu 99% ya kipato chao wanahudumia wapenzi wao huko mitaani kunyeweni maji mengi kushusha uchungu........ na wale ambao wapenzi wenu hawarudi kabisa (au wamesafiri na wapenzi wao holiday) huo muda wa kulala usiku bora mkalinde sungusungu

Yaani kiufupi...........

Hebu mjitafakari kwa nini mko na hao wenza wenu.........................

Mchukue hatua ili muachane na upweke

Single wote mlio kwenye ndoa zenu............habari zenu tena.

Na nyie Married but Available(MBA) tutaonana mwakani, labda kutakuwa na ujumbe wa pasaka kwenu!!!!

Heri ya mwaka mpya kwenu wote!!!

Nb
kuna wanaume mbingu mtaisikia tu!!!
Tunashukuru KWA kufunga mwaka kwa ujumbe mzuri ,

Mahusiano yamekuwa Fragile Sana ,dakika mbili mtu ameanza kuchepuka,
Watu wameolewa/wameoa kazi zao
Watu wameolewa na simu zao

Katika ulimwengu huu ambao mawasiliano yamerahishishwa Ukiwa kichwa Nazi lazima usumbuke Sana ,maana haihitaji nguvu kubwa Sana kubadili mahusiano,mipango na mitongozo yote inafanyika kwa simu,watu wanakutana kwenye nyumba za wageni kumalizia mipango iliyoanza kwenye simu.

Mtu anaweza kutongozwa kwa simu/Sms mbele ya mume wake
Mume anaweza kutongoza kwa simu mke akiwa pembeni

Vishawishi vyote viko kiganjani ,wala haviko mtaa wa pili

Ni wewe na Mungu wako .
Tuendelee kunawa kwa maji tiririka.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tunashukuru KWA kufunga mwaka kwa ujumbe mzuri ,

Mahusiano yamekuwa Fragile Sana ,dakika mbili mtu ameanza kuchepuka,
Watu wameolewa/wameoa kazi zao
Watu wameolewa na simu zao

Katika ulimwengu huu ambao mawasiliano yamerahishishwa Ukiwa kichwa Nazi lazima usumbuke Sana ,maana haihitaji nguvu kubwa Sana kubadili mahusiano,mipango na mitongozo yote inafanyika kwa simu,watu wanakutana kwenye nyumba za wageni kumalizia mipango iliyoanza kwenye simu.

Mtu anaweza kutongozwa kwa simu/Sms mbele ya mume wake
Mume anaweza kutongoza kwa simu mke akiwa pembeni

Vishawishi vyote viko kiganjani ,wala haviko mtaa wa pili

Ni wewe na Mungu wako .
Tuendelee kunawa kwa maji tiririka.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
mambo magumu sana siku hizi!!!
 
Kwa hiyo unawakejeli siyo?!

Unawadhihaki?

Kwani wewe ni mchepuko?

Kwa hiyo maisha hayo ya kuchepuka umeridhika nayo?

Kimfaacho mtu chake @ Dada!
 
Tunashukuru KWA kufunga mwaka kwa ujumbe mzuri ,

Mahusiano yamekuwa Fragile Sana ,dakika mbili mtu ameanza kuchepuka,
Watu wameolewa/wameoa kazi zao
Watu wameolewa na simu zao

Katika ulimwengu huu ambao mawasiliano yamerahishishwa Ukiwa kichwa Nazi lazima usumbuke Sana ,maana haihitaji nguvu kubwa Sana kubadili mahusiano,mipango na mitongozo yote inafanyika kwa simu,watu wanakutana kwenye nyumba za wageni kumalizia mipango iliyoanza kwenye simu.

Mtu anaweza kutongozwa kwa simu/Sms mbele ya mume wake
Mume anaweza kutongoza kwa simu mke akiwa pembeni

Vishawishi vyote viko kiganjani ,wala haviko mtaa wa pili

Ni wewe na Mungu wako .
Tuendelee kunawa kwa maji tiririka.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hilo la maji tiririka ndio la msingi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
sasa ndoa ya namna hiyo ni ya kazi gani? why stay? ndoa ni Upendo, Heshima, Amani na Furaha ya pamoja, sasa inapofikia stage ya kusema najipa furaha mwenyewe hiyo si ndoa tena, kwanini usitoke ukaanze upya na kuwa really happy
You are so wrong just like many others.

Huwezi mtegemea mwenzio awe bf, fiancee au hata mume akupe furaha.

Furaha yako ni uamuzi wako, unless hujaelewa nilichokiandika.
 
You don't find love by taking your self out, going for shopping or by building an empire. They are not even close to being a substitute.

I think wee need to fix and repair our broken ways. And for the broken fellas that can't be fixed, replace them.

An empire without love, is an empire of chaos. Even shopping ain't fun, if your partner is a pain in the ass. And after taking yourself out, you'll have to come back home, where your broken fella awaits.

You can't build a family where everyone seeks refuge out there on their own. We need families built on a firm foundation of LOVE. A family where you know your partner and other family members got your back.

So here is my two cents, fix your broken nigga, or replace him. Self love is a myth!
Read and understand what I wrote.

Not once did I mention self love.

Then come back and we can argue all day.
 
Toeni vitisho hata mtuvunje taya ila kwenye ndoa tutaingia tu ni bora tunyenyuke tunapoanguka kuliko kushindwa kunyenyuka tuangukapo,
Nitaachwa nitasalitiwa ila kuna siku nitampata mnyonge wangu, 2022 𝐍𝐚𝐤𝐮𝐨𝐧𝐚 𝐔𝐤𝐢𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐞 𝐦𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐣𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐢 𝐧𝐢𝐬𝐚𝐡𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐰𝐚,
𝐇𝐢𝐥𝐨 𝐧𝐝𝐨 𝐭𝐮𝐦𝐚𝐢𝐧𝐢 𝐥𝐚𝐧𝐠𝐮
 
Toeni vitisho hata mtuvunje taya ila kwenye ndoa tutaingia tu ni bora tunyenyuke tunapoanguka kuliko kushindwa kunyenyuka tuangukapo,
Nitaachwa nitasalitiwa ila kuna siku nitampata mnyonge wangu, 2022 𝐍𝐚𝐤𝐮𝐨𝐧𝐚 𝐔𝐤𝐢𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐦𝐤𝐞 𝐦𝐳𝐮𝐫𝐢 𝐚𝐦𝐛𝐚𝐲𝐞 𝐭𝐮𝐭𝐚𝐣𝐞𝐧𝐠𝐚 𝐟𝐚𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐲𝐞𝐧𝐲𝐞 𝐟𝐮𝐫𝐚𝐡𝐚 𝐧𝐚𝐦𝐢 𝐧𝐢𝐬𝐚𝐡𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐜𝐡𝐮𝐧𝐠𝐮 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐰𝐚,
𝐇𝐢𝐥𝐨 𝐧𝐝𝐨 𝐭𝐮𝐦𝐚𝐢𝐧𝐢 𝐥𝐚𝐧𝐠𝐮
Mjuba unaachwaga tu😅
 
Back
Top Bottom