Mkuu biashara yoyote ile hufanywa kwakutumia ziadaHakusoma walipoandika trade the money u can afford to lose pia don't trade on borrowed money?hii sio biashara ya maskini,km huna kazi na unataka ufanye Forex bora utafute kazi kwanza then utrade kupitia hiyo pesa ya ziada,kuna watu walitrade pesa za ada za watoto wakala za uso.
Achana na huu ujinga mkuu fanya kazi zinazogusa jamiiNahitaji kuingia rasmi kwenye biashara hii
Naomba msaada wenu jamani!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua kitu kimoja kila ikija mada ya kuekeza utaona watu wanaishupalia. Lakini njia namba 1 inayomtoa mtu kimaisha ni uwekezaji kwenye stock market. Nipo kwenye group moja ya Discord kiongozi wa hii group, ametengeneza 1 million kwa miezi 9 tu lakini goli lake ilikuwa miezi 10. Sijui kuhusu forex lakini pia cryptocurrency inaweza kukutoa kimaisha vizuri tu. Bila kusahau usijiingize kwenye uwekezaji bila ya kusoma na kufanya research yako mwenyewe, sio kufata mkumbo na maneno ya mtu tu.
Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
$1 million sio Tsh jana kafikisha $1.7 million. Nimeweka link ya group unaweza kuona mwenyewe.1mil USD au tsh? Kama 1mil tsh kwa miezi 9 huyo mtu aache uzwazwa akatafute kazi za msingi za kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawataki tu kujifunza,wanataka kupiga hela chap chap ila nakuambia ukiwa serious unaweza anza na $100 (230,000/=) na ukafanya wonders japo wakongwe wanaanza hata na $10 na wanatoboa mpaka $1000 kwa mda mfupi tu.Kwani Capital ni kiasi gani Wakuu?
Maana mpaka mtu kwenda kukopa hio vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu hawataki tu kujifunza,wanataka kupiga hela chap chap ila nakuambia ukiwa serious unaweza anza na $100 (230,000/=) na ukafanya wonders japo wakongwe wanaanza hata na $10 na wanatoboa mpaka $1000 kwa mda mfupi tu.
1 miliion madafu au $USD??Nimegundua kitu kimoja kila ikija mada ya kuekeza utaona watu wanaishupalia. Lakini njia namba 1 inayomtoa mtu kimaisha ni uwekezaji kwenye stock market. Nipo kwenye group moja ya Discord kiongozi wa hii group, ametengeneza 1 million kwa miezi 9 tu lakini goli lake ilikuwa miezi 10. Sijui kuhusu forex lakini pia cryptocurrency inaweza kukutoa kimaisha vizuri tu. Bila kusahau usijiingize kwenye uwekezaji bila ya kusoma na kufanya research yako mwenyewe, sio kufata mkumbo na maneno ya mtu tu.
Ndukiiiii πββοΈπββοΈπββοΈ
Haiwezi kuwa madafu mkuu1 miliion madafu au $USD??