Wale wenye positive attitude na Forex mje huku

Wale wenye positive attitude na Forex mje huku

Nimegundua kitu kimoja kila ikija mada ya kuekeza utaona watu wanaishupalia. Lakini njia namba 1 inayomtoa mtu kimaisha ni uwekezaji kwenye stock market. Nipo kwenye group moja ya Discord kiongozi wa hii group, ametengeneza 1 million kwa miezi 9 tu lakini goli lake ilikuwa miezi 10. Sijui kuhusu forex lakini pia cryptocurrency inaweza kukutoa kimaisha vizuri tu. Bila kusahau usijiingize kwenye uwekezaji bila ya kusoma na kufanya research yako mwenyewe, sio kufata mkumbo na maneno ya mtu tu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Mkuu umesahau Jf kila mtu anajua, tena wanajua kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimegundua kitu kimoja kila ikija mada ya kuekeza utaona watu wanaishupalia. Lakini njia namba 1 inayomtoa mtu kimaisha ni uwekezaji kwenye stock market. Nipo kwenye group moja ya Discord kiongozi wa hii group, ametengeneza 1 million kwa miezi 9 tu lakini goli lake ilikuwa miezi 10. Sijui kuhusu forex lakini pia cryptocurrency inaweza kukutoa kimaisha vizuri tu. Bila kusahau usijiingize kwenye uwekezaji bila ya kusoma na kufanya research yako mwenyewe, sio kufata mkumbo na maneno ya mtu tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
nipe link
 
Rafiki yangu kafilisiwa hela alizokopa kwenye hayo mambo ya FOREX kawa kama zezeta

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakusoma walipoandika trade the money u can afford to lose pia don't trade on borrowed money?hii sio biashara ya maskini,km huna kazi na unataka ufanye Forex bora utafute kazi kwanza then utrade kupitia hiyo pesa ya ziada,kuna watu walitrade pesa za ada za watoto wakala za uso.
 
Back
Top Bottom