Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Hili nalo tatizo lenu.
Huwa mnaamini kuwa ukimtaka mwanaume lazima umpate, nikuhakikishie sio wote.

Mwanaume anayejitambua hawezi kuvua kila mwanamke na hawezi kukubali kila ombi la mwanamke.
Mimi pia nisipokutaka hata uwe uchi na unilalie sikupi.
Kwanza ninachukia sana mwanamke mrahisirahisi.
Afadhali wewe, mimi hata Akishika machine itasimama lakini tendo nagoma kama nimeamua naweza kujicontrol kwa hali yoyote ile
Kipindi kile nakumbuka hata mkojo ukikojoa ulikuwa unaruka mbali kweli😀😀...
Haukua mtu poa kwa hali hiyo
 
Kuna dada mmoja chotara wa kikaburu na kihehe, aliiuwa mshirika kibiashara, kwa kweli alikuwa na kila sifa.
Pamoja na kuumbika kwake haikunifanya nimtake kwani nilijua fika biashara na mapenzi haviendani.
Kuna wakati tulisafiri pamoja kwenda Nairobi.

Tulifikia hoteli niliyoizoea na ilikuwa usiku sana..
Bahati mbaya ilipatikana room 1 na kwa jinsi usiku ulivyoingia ilishindikana kupata room nyingine.
Nilimwambia wewe lala kitandani mimi nitakaa kwenye sofa ya mtu mmoja...kulala kwa kukaa.
Ilibidi tudizime taa...aliiuwa anashindwa kulala vizuri..ana amka amka kila mara...mwishowe akaniita G njoo ulale kitanda ni kipana.

Nilipanda na kulala mwanzoni mwa kitanda...to be honest nililala bila kugeuka lkn kila mara nilimsikia akigeuka geuka na kushtuka lkn sikutaka kujua kulikoni...kwanini?

Sikutaka aone nachukulia advantage ya mazingira kumtaka kusex naye....na nilijitahidi kuzi control hisia zangu na niliweza bila tatizo hatimaye palikucha salama na tukaendelea na mishe zetu na jioni tukarudi nchini.

Tukiwa njiani akaanza kufunguka alivyoteseka na hakuamini kuwa nitamwacha salama.

Nikamwambia...huwa sifanyi sex kama ajali, pili nikikuhitaji kabla ya kukutamkia lazima nijione ndani mwako ndipo sasa nitakua huru kukutaka.
Nikampa na faida za kufanya hivyo....H aliniheshimu sana sana kitendo cha kumwacha salama na urafiki wetu ulizidi maradufu...tulipoishia...tuyaaache[emoji28][emoji28][emoji28]

Nasikitika kuwa H alifariki baadae kwa kipigo cha majambazi.
Oooh So sad
 
Namshukuru Mungu unaenda mwaka wa pili sasa nilishaachana na hizo habari, hata nyumbani sasa hivi furaha imeongezeka sana sana.
Mwanzoni furaha yangu nilikua naitafuta kwa michepuko ila baada ya kukaa na kutafakari sana nikaona huu unakua kama utumwa fulani hivi wa hisia, nikaamua rasmi furaha yangu nianze kuitafuta kupitia kwa mke wangu pamoja na wanangu, mwanzo ilikua ni ngumu sana ila taratibu taratibu sasa hivi najikuta nina furaha na amani zaidi nikiwa nimekaa na wife kuliko mtu mwingine yoyote, yaani yale mapenzi yangu kwa wife kile kipindi cha uchumba ndio sasa hivi nateseka nayo.
Huo ndio uwanaume sasa. Ongera sana
 
Labda niseme;
Unaposikia mtu anasema mwanamke hawezi kutoka sala getoni mwake ujue huyo ni fisi mla mizogo...pia huu ni aina ya ubakaji.

1. Mwanaume unapaswa kuchagua ke wa kutoka naye na sio kubakana kisa amekuja geto.

2. Usifanye ngono za dharura..mfano akitembelee umlazimishe huu ni ujuha...
Mimi msichana akinitembelea namhesabu ni mgeni wa heshima na hahitaji bughudha.

3. Ukistaarabika huwezi kuabudu ngono au kukosa ustaarabu...ni muhimu kutongozana kwa tabia na sio kulazimishana kwa mazingira.

...Ninaposema kutonaozana kitabia maana yake jifunze kumvutia msichana kwa:
-ustaarabu wako
-ucheshi
-utanashati
-ongea yako nk.

Mavumba isiwe kigezo lkn[emoji38][emoji38]
Nakazia, kumlazimisha mtu kufanya chochote bila ridhaa yake ni ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia,sio uwanaume.
 
Watu wana roho ngumu sana Mkuu
Mkuu kuna vitu humfanya mtu asijiamini hivyo kuokoteza kila kitu mbele yake;
1. Umasikini
2. Umasikini
3. Umasikini
Huondoa kujiamini kumiliki mrembo au mke bora...hivyo huona kila fursa ndio mda sahihi wa kukipata anachotamani...

Mwanaume mwenye akili, anayejiamini hawezi kufanya ngono holela na za kuongopea msichana eti njoo uchukulie pesa geto ili akija wasex...kweli?

Pili kuna mtu akiombwa vijisenti na msichana anaona nayo ni fursa...huuu ni ulimbukeni.

Sex ni sawa na ibada, inahitaji ridhaa pande zote, maandalizi mazuri, mazingira tulivu yasiyo na hofu wala stress...
Nakuhakikishia mtafurahia na hata msichana atazidi kukuheshimu.

Sio dada wa watu kufika tu geto na kubakwamo mule daah.
 
Mkuu kuna vitu humfanya mtu asijiamini hivyo kuokoteza kila kitu mbele yake;
1. Umasikini
2. Umasikini
3. Umasikini
Huondoa kujiamini kumiliki mrembo au mke bora...hivyo huona kila fursa ndio mda sahihi wa kukipata anachotamani...

Mwanaume mwenye akili, anayejiamini hawezi kufanya ngono holela na za kuongopea msichana eti njoo uchukulie pesa geto ili akija waaex...kweli?

Pili kuna mtu akiombwa vijisenti na msichana anaona nayo ni fursa...huuu ni ulimbukeni.

Sex ni sawa na ibada, inahitaji ridhaa pande zote, maandalizi mazuri, mazingira tulivu yasiyo na hofu wala stress...
Nakuhakikishia mtafurahia na hata msichana atazidi kukuheshimu.

Sio dada wa watu kufika tu geto na kubakwamo mule daah.
Uko sahihi kabisa Mkuu.
 
Mkuu kuna vitu humfanya mtu asijiamini hivyo kuokoteza kila kitu mbele yake;
1. Umasikini
2. Umasikini
3. Umasikini
Huondoa kujiamini kumiliki mrembo au mke bora...hivyo huona kila fursa ndio mda sahihi wa kukipata anachotamani...

Mwanaume mwenye akili, anayejiamini hawezi kufanya ngono holela na za kuongopea msichana eti njoo uchukulie pesa geto ili akija wasex...kweli?

Pili kuna mtu akiombwa vijisenti na msichana anaona nayo ni fursa...huuu ni ulimbukeni.

Sex ni sawa na ibada, inahitaji ridhaa pande zote, maandalizi mazuri, mazingira tulivu yasiyo na hofu wala stress...
Nakuhakikishia mtafurahia na hata msichana atazidi kukuheshimu.

Sio dada wa watu kufika tu geto na kubakwamo mule daah.
Tena hamuachi hata apumzike, yeye kinachozunguka kichwan kwake mi sex sex sex sex Ndio hawa wanaume wanaowapa mimba vichaa hawana tofauti kabisa
 
Tabia za kinyama kabisa, hufanywa na wanaume wa kiafrika, Eti oyaa yule mazi alivyoingia nikatupa ufunguo ufunguni hapo anajiona mwamba dah[emoji28]
Unasikia raha gani kusex na mtu asiye na feeling kwako?
 
Back
Top Bottom