Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu acha tu kuna mmoja alikuja kwangu alikuwa modo hatari chuchu mchongoma yani dah shetani ashindwe na alegee yani sijui nisemeje ila dah embu tuyaache
Ulipiga miti mzee??
 
Ukifuatilia kwa karibu hii sampuli ya watu waliomo mitandaoni, unaweza ukabaini ni kwa namna gani jamii ina watu wajinga mno.

Wengine mpaka wanalawiti mabinti wa kazi na kuwaharibu kwa kiwango kisichoelezeka!

Hawa mabinti wa kazi wengi wao ni watoto wadogo ambao kimsingi kuwafanyia unyama huo wa kingono ni ubakaji ambao unastahili kuwajibishwa kisheria.

Grave sexual abuse and assaults! Lakini jamii inashangilia.

Sielewi hawa ni aina ya watu waliozaliwa katika mazingira gani ya majalalani!!

Kuna tatizo kubwa sana la jamii ambayo imejengwa katika mazingira ya ngono za hovyo hovyo!

Wengine mpaka wanajisifu kubaka watoto wao wa kuwazaa! Ati ndio urijali kwa mujibu wa viwango vya Tanganyika! DISGUSTING!

Ndio hawa waliokuzwa kwenye familia ambazo baba, mama na watoto wanalala kitanda kimoja!

Uswahili uswahili na uchafu!

Ignorance and lack of basic decency!
Yani unasoma comment ya mtu unabaki heeee!!
 
Woman, i love you. Wanawake tunatiaga huruma, ujinga wa mwanaume ila tutautafutia excuse ili ionekane tu haikuwa ni kosa lao. Wao ni watoto kila siku, hawana ufahamu wa kulijua jema lipi na baya lipi

Ujue nasoma comments hadi macho yanapoteza uono; like seriously ndiyo tumefika huku?Mabinti wengi wa kazi wanatoka kwenye familia zisizojiweza, wanakuja kwetu wenye unafuu kidogo angalau wajipatie ridhiki watunze familia zao. Imagine huku kwetu wanapotutegemea, ndiyo wanakutana na hawa wabakaji tunaowaita waume zetu: disgusting.
Majority ni watoto ambao hawawezi kujitetea; hawa waume zetu wanatake advantage wa unyonge wao. Wanawatia mimba afu tunaishia kiwafukuza warudi vijijini kwao wakaongeze ugumu wa maisha. Tunashiriki kuharibu maisha ya watoto wa wengine, afu tunajifanya "watoto wangu wapo vizuri tu na tunaishi kwa amani"; amani ipi hiyo wakati mnapanda uharibifu kwa watoto wa wengine? Huyo Mungu haoni machozi na magumu mnayoyapanda kwa watoto wa watu?

Hivi maids si wanatakiwa watreatiwe kama watoto wa nyumbani, tangu lini wamegeuka kuwa wake zenu? Mwanaume asiyeweza kuheshimu mabinti wa nyumbani kwake; huko nje si ndiyo papuchi zinamtambua kwa zipu? Na kama anaweza kulala na maid ambaye ni kama binti yake, siku akikosa maid si ndiyo atahamia kwa binti zake au watoto wake wa kiume? Vijana wa kiume wajifunzie kukojoa kwa maids, na wewe baba mzima ukalale na maid; no wonder unakuta familia nzima imeambukizwa gonjwa kisa tamaa. Mnavyovipanda kwa mabinti wa wenzenu; mtavivuna kwa vizazi vyenu. Ngoja siku muingie kwenye familia zilizoshindikanika, mkatie mimba watoto wa watu afu mjifanye kuwatelekeza; maji mtaita mma.

Mijinga mingine haina hata haya, eti kuna maids wana makalio; kwa hiyo na mabinti zenu wakiwa na makalio mtawalala? Huo ufirauni wenu uwe na limit.
Umemaliza mrembo.

Mwaka huu hupandi kileleni ?
 
Ushauri wako si wa kujenga. Kuolewa au kuoa ni haki ya kila mwanamke na mwanaume. Pia we wajua mahitaji ya mwili ni pamoja na hilo.
Huwezi amini kama kuna mtu anaishi bila kinyongo na mwanamke au mtu yeyote duniani ni mimi. Na ndo maana hadi leo nipo na mume wangu na ninaamini ananipenda sanaaa tu. Haya nimeyaweka huku ili kupata maoni ya wengine tu.
Watoto wangu nipo nao karibu sana na haya yanayotokea kwa ma hg wala hawayajui. Huwa tunayamaliza na baba yao faraghani sana. Watoto wapo vizuri sana maana wanapata upendo wa baba na mama.
Kwa taarifa yako nyumba yangu au maisha ninayoishi mimi na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.
We ni mke kwelikweli aisee hongera sana napousoma mwandiko wako ni umejaa mapenzi mazito kwa mumeo pamoja na ukivuruge wake bado unasimama kumtetea kwa mapenzi,,
 
Shida yenu wamama mnaingia kwenye Ndoa na kasumba za kuwatenga ndugu za wayne zenu.

Dawa ndogo. Sana tafuta ndugu za Mumeo wa kike kaa nao hapo, nyumbani kwa upendo wote. Huu ni mwarobaini wa Moja kwa Moja.

Wengi wamefanikiwa Moja kwa moja
 
Idadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.

Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Pole
 
Woman, i love you. Wanawake tunatiaga huruma, ujinga wa mwanaume ila tutautafutia excuse ili ionekane tu haikuwa ni kosa lao. Wao ni watoto kila siku, hawana ufahamu wa kulijua jema lipi na baya lipi

Ujue nasoma comments hadi macho yanapoteza uono; like seriously ndiyo tumefika huku?Mabinti wengi wa kazi wanatoka kwenye familia zisizojiweza, wanakuja kwetu wenye unafuu kidogo angalau wajipatie ridhiki watunze familia zao. Imagine huku kwetu wanapotutegemea, ndiyo wanakutana na hawa wabakaji tunaowaita waume zetu: disgusting.
Majority ni watoto ambao hawawezi kujitetea; hawa waume zetu wanatake advantage wa unyonge wao. Wanawatia mimba afu tunaishia kiwafukuza warudi vijijini kwao wakaongeze ugumu wa maisha. Tunashiriki kuharibu maisha ya watoto wa wengine, afu tunajifanya "watoto wangu wapo vizuri tu na tunaishi kwa amani"; amani ipi hiyo wakati mnapanda uharibifu kwa watoto wa wengine? Huyo Mungu haoni machozi na magumu mnayoyapanda kwa watoto wa watu?

Hivi maids si wanatakiwa watreatiwe kama watoto wa nyumbani, tangu lini wamegeuka kuwa wake zenu? Mwanaume asiyeweza kuheshimu mabinti wa nyumbani kwake; huko nje si ndiyo papuchi zinamtambua kwa zipu? Na kama anaweza kulala na maid ambaye ni kama binti yake, siku akikosa maid si ndiyo atahamia kwa binti zake au watoto wake wa kiume? Vijana wa kiume wajifunzie kukojoa kwa maids, na wewe baba mzima ukalale na maid; no wonder unakuta familia nzima imeambukizwa gonjwa kisa tamaa. Mnavyovipanda kwa mabinti wa wenzenu; mtavivuna kwa vizazi vyenu. Ngoja siku muingie kwenye familia zilizoshindikanika, mkatie mimba watoto wa watu afu mjifanye kuwatelekeza; maji mtaita mma.

Mijinga mingine haina hata haya, eti kuna maids wana makalio; kwa hiyo na mabinti zenu wakiwa na makalio mtawalala? Huo ufirauni wenu uwe na limit.
Cool down !
 
Unamtafuna house girl..kujisahau hadi mimba...wa kwanza wa pili watatu..wanaume shikamooni.

Mimi house girl hapana sina kifua cha kuhimili hekaheka za namna hiyo.

Hahaha, hatari sana. Mke wangu alishakataa house girl.
 
Nyie wamama mnaokataa house gal, mkiwa na vichanga shughuli zitaendaje hapo nyumbani?
Manake mna wajaza wenzenu upepo tuu hapa, mtu anakataa H/g na ana kichanga.
 
We mwenzio familia yake ina furaha,yeye na mumewe wana furaha.
Mambo yao safi kabisa.
Hata hawagombani, huwa anamuuliza polepole faraghani huko.
Wanatimua dada,maisha yanaendelea.
Ndugu na marafiki wanawaomba ushauri.

She is okey.

Yeah hata mm naona she is okay ndo mana kaja kulalamika hapa [emoji23][emoji23][emoji23]...
 
Huu uzi bana unanipa sana raha.
Wanaotakiwa kuteseka wanasema hawateseki wala nini, wako poa tu na hii ilikuwa ni Mazungumzo baada ya habari.

Saaaaaasa siiiiiiiisi wengine tulivyo busy

Hivi kwani tunawashwa nn ila?
Mxxxxxxxiiiie zangu!
 
Kuna faida ya kutokuwa na Housegirl, hasa jikoni unaweza kumnunulia mkeo vifaa vya kisasa kama electrical pressure cooker akaitunza na kuithamini ikadumu. Mara nyingi nyumba ambazo HG ndiye dereva wa household, vifaa vya ndani hata vitu kama vijiko au glass ni majanga. Unaweza kuta haina hata glass moja ya kunywea maji, zote zimevunjika na hasemi
Kumbuka hatuzungumzii masufuria na vijiko [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Thank you gentleman.....
Ukifuatilia kwa karibu hii sampuli ya watu waliomo mitandaoni, unaweza ukabaini ni kwa namna gani jamii ina watu wajinga mno.

Wengine mpaka wanalawiti mabinti wa kazi na kuwaharibu kwa kiwango kisichoelezeka!

Hawa mabinti wa kazi wengi wao ni watoto wadogo ambao kimsingi kuwafanyia unyama huo wa kingono ni ubakaji ambao unastahili kuwajibishwa kisheria.

Grave sexual abuse and assaults! Lakini jamii inashangilia.

Sielewi hawa ni aina ya watu waliozaliwa katika mazingira gani ya majalalani!!

Kuna tatizo kubwa sana la jamii ambayo imejengwa katika mazingira ya ngono za hovyo hovyo!

Wengine mpaka wanajisifu kubaka watoto wao wa kuwazaa! Ati ndio urijali kwa mujibu wa viwango vya Tanganyika! DISGUSTING!

Ndio hawa waliokuzwa kwenye familia ambazo baba, mama na watoto wanalala kitanda kimoja!

Uswahili uswahili na uchafu!

Ignorance and lack of basic decency!
 
Back
Top Bottom