Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Natumaini wote hamjambo? Mimi na marafiki zangu tumeamua kuelimisha vijana wenzetu namna ya kuboresha maisha yao kwa mifano pia kutoka kwa watu ambao wamefankiwa. Kwa kuanzia tutaanza kuelimisha kwa vijana kutoka nchi za Tanzania na Kenya.Pia tutaelimisha jamii kupitia mtandaoni na hapa JF. Nilikuwa naomba kwa wale ambao wamefanikiwa kupitia shighuli zao za biashara au ujasiriamali wanaweza kutupa historia zao na namna walivyofanikiwa kutoka chini hadi kati au juu.Naomba mtutumie kwenda empoweryouth@yahoo.com
Nitatumia mifano yenu kuelimisha jamii ili kujikwamua na umasikini kwa mifano iliyohai ili watu wajifunze kutoka kwenu. Lengo la kufanya hivi ni maamuzi niliyofikia na marafiki kuelimisha jamii hasa vijana kujikwamua na wao wawe watu miongoni mwa watu.Mimi pia nitatoa nondo kali sana kila siku niko naandika mambo mengi ili kuelimisha.
Naomba mnitumie historia zenu katika biashara ikiwemo na vikwazo mlivyopitia kupata mafanikio na ata picha kama mkipenda kwenda kwa empoweryouth@yahoo.com
Nitatumia mifano yenu kuelimisha jamii ili kujikwamua na umasikini kwa mifano iliyohai ili watu wajifunze kutoka kwenu. Lengo la kufanya hivi ni maamuzi niliyofikia na marafiki kuelimisha jamii hasa vijana kujikwamua na wao wawe watu miongoni mwa watu.Mimi pia nitatoa nondo kali sana kila siku niko naandika mambo mengi ili kuelimisha.
Naomba mnitumie historia zenu katika biashara ikiwemo na vikwazo mlivyopitia kupata mafanikio na ata picha kama mkipenda kwenda kwa empoweryouth@yahoo.com