Wale wote tuliosoma kilimo kutoka SUA na colleges mbalimbali tukutane hapa tupeane Connection za kazi/ajira

Clark boots

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
6,770
Reaction score
6,202
Kama ni muhitimu wa mafunzo ya kilimo kuanzia Diploma mpaka Degree basi njoo hapa tupeane updates za ajira/kazi hata temporary term iwe serikalini, Taasisi za kiserikali, kampuni binafsi, Mashamba mbalimbali makubwa n.k

KARIBUNI SANA VIJANA.
 
Connection zioo shambani mkuu.
Anza na eneo dogo kadri ya uwezo wako.
 
Mbegu zenyewe zipo mjini, soko liko mjini dah!!
 
Mkuu njoo pm kuna connection ya kazi nimeiona mahali huenda ikakufaa
Kama ni muhitimu wa mafunzo ya kilimo kuanzia Diploma mpaka Degree basi njoo hapa tupeane updates za ajira/kazi hata temporary term iwe serikalini, Taasisi za kiserikali, kampuni binafsi, Mashamba mbalimbali makubwa n.k

KARIBUNI SANA VIJANA.
 
Connection zioo shambani mkuu.
Anza na eneo dogo kadri ya uwezo wako.
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
 
Nilidhani mnakutana kubuni wazo mbadala, vijana wamegoma kbs kukubaliana na ukweli kwamba nchi hii ajira zimekuwa chache mno.
 
Horticulturist tunacomment wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nafasi ya kazi kwa mwalimu wa kilimo
Uwe vizuri darasani na field
Degree kutoka SUA
kipaumbele aliokulia Maisha ya kilimo karibu PM
Angalizo: Mimi nakupa tu connection ya kazi shuleni ila mimi sio mwalimu wala sio mwajiri ila wife wangu ni Manager wa hiyo Shule
 
Rural development expert nawasalimu kutoka upande huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…