Wale wote tunaokula milo mitatu kwa siku, hii ndo ratiba inayoendana na afya ya mwili

Wale wote tunaokula milo mitatu kwa siku, hii ndo ratiba inayoendana na afya ya mwili

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Wakati wa asubuhi, hakikisha kifungua kinywa kina range kati ya saa kumi na mbili mpaka saa mbili hapa ni kama hauna familia, au uko kazini. Kama una familia basi isivuke saa nne asubuhi.

Wakati wa mchana, hakikisha mlo wa mchana unakuwa kati ya saa sita mpaka saa saba mchana ulivuka hapa we mzembe.

Wakati wa jioni/usiku, hakikisha mlo wako unakuwa kati ya saa moja mpaka saa mbili usiku yaani unakula uku unatazama taarifa ya habari.

Nb, usile ndizi za kupika usiku, usile vyakula ambavyo ni rojo sana wakati wa usiku.
Ni hayo tu.😀
 
Hii ni ramadhani Weka na ratiba ya daku...
kuna wanao kula daku asubuhi wakipitiwa na usingizi, na wapo humu nawajua kuna mmoja hapa kala ugali wa jana na maharage kavimbiwa ananisumbua tu hapa.
 
Sisi tunaokunywa chai saa 2, kisha tunarudi kulala. Tunaamka saa 4 tunakunywa uji wa lishe, saa 7 tunapata lunch. Saa 10 tunapata fruits halafu SAA mbili usiku dinner. Hii ipo poa? Au kuna maboresho?
Hii iko poa sana
 
Sisi tunaokunywa chai saa 2, kisha tunarudi kulala. Tunaamka saa 4 tunakunywa uji wa lishe, saa 7 tunapata lunch. Saa 10 tunapata fruits halafu SAA mbili usiku dinner. Hii ipo poa? Au kuna maboresho?
Hapa naona umuhimu wa choo,jikoni na bedroom tuu
 
Kula nakula everywhere and everything as a pig.
Wazungu msinitafute!
 
Back
Top Bottom