bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii latiba inatufaa sisi wenye miiri midogo iri angarau tupate mwiri kidogo.Sisi tunaokunywa chai saa 2, kisha tunarudi kulala. Tunaamka saa 4 tunakunywa uji wa lishe, saa 7 tunapata lunch. Saa 10 tunapata fruits halafu SAA mbili usiku dinner. Hii ipo poa? Au kuna maboresho?
😂😂😂😂Kabla sijasoma vizuri nilijua ni digba sowey .Hii latiba inatufaa sisi wenye miiri midogo iri angarau tupate mwiri kidogo.
(Vipi mwarimu naandika vizuli?)
Mimi mwenyewe
😂😂😂😂Kabla sijasoma vizuri nilijua ni digba sowey kumbe ni my babe troublemaker.
Nyie wenye miili midogo hamuwezi kula sana matumbo yatachanika. Hiyo kazi tuachieni sisi.
Wataalamu wanasema tusile huku tunaangalia tv au kuchezea simuWakati wa asubuhi, hakikisha kifungua kinywa kina range kati ya saa kumi na mbili mpaka saa mbili hapa ni kama hauna familia, au uko kazini. Kama una familia basi isivuke saa nne asubuhi.
Wakati wa mchana, hakikisha mlo wa mchana unakuwa kati ya saa sita mpaka saa saba mchana ulivuka hapa we mzembe.
Wakati wa jioni/usiku, hakikisha mlo wako unakuwa kati ya saa moja mpaka saa mbili usiku yaani unakula uku unatazama taarifa ya habari.
Nb, usile ndizi za kupika usiku, usile vyakula ambavyo ni rojo sana wakati wa usiku.
Ni hayo tu.[emoji3]
Aisee high ni noma....Aitesi kama mwili ukisha adapt...in fact muscle mass inaongezeka huku stored fat ikichakatwa Vibaya mnoAcha hiyo, inatesa mwili
Unafanya Intermittent fasting??Wale wa bf saa 4..lunch saa 9-10.. dinner saa 3-4...mnatushauri vipi?