Nilikuwa kama wewe, nilikuwa napenda kuwa daktari tena ikiwezekana niendelee mpaka na masters hukoo... Nimekaa home miaka 2 nimeomba diploma CO vyuo vya serikali...kila nikiomba natemwa nikajisemea moyoni labda Mungu hakupanga niwe daktari labda Mungu ananiepusha na huko ninapotaka kwenda, nikabadilisha field nikatumia cheti cha form 4 nikaomba field za Engineering & Technology nimepata pale DIT first Round mapema tu...
Sometimes lazima ukubaliane kwamba Sio kila kitu kitime..sisi tunapanga, Mungu nae anapanga...nimefungua moyo wangu na sasaivi nafurahia huko ni apokwenda kuanza maisha mapya..