Wale wote waliokatishwa ndoto zao na TCU pitia hapa.

Ongera kapambane kiongozi
 
Kwanza kabisa udaktari ni wito kama walivyo masista na mapadre wale wakatolic nahisi mnanielewa vizuri. Kwahyo kuna wengine tuna maoenzi ya dhati kabisa katika jambo hili na sio kutafuta pesa tu.
Ni kweli kabisa... Cha msingi hakuna kukata tamaa kama kuna huo wito ndani yako.. kwahyo endelea kumwomba MUNGU tu hakuna kinachoshindikana kwake hta kama kwetu cc ikionekana ni vigumu.
 
Hapa TCU mnawalaumu bure. Kusomea udaktari kwa Tanzania imekuwa shida sana na taizo si TCU bali upungufu wa nafasi. Kwa kushusha vigezo TCU wanawasaidia wale wanao taka kwenda kusoma nje hata wakirudi wanaonekana walikwenda wakiwa na vigezo vinginevyo ingekuwa shida kutambuliwa na TCU.
Dawa yake ni kunjenga shule zaidi za udakitari. Pia vijana wawe flexible wasing'ang'anie udakitari tu. TCU ingesaidia kutoa cutoff points za admission kwa kila course kwa mwaka uliopita kwenye kila chuo ili vijana wapime kina cha maji kable ya kutumbukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…