Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,633
Arlen ww chukua tu! Kama Redmi 7 stock yake ipo ya kutosha na store zipo tatu tofauti zinazotuma: Fantacy Technology, Hongkong Goldway & Eternal Team.doh!
nilikuwa nataka niagize redmi 7 naitaka kabla ya 2 weeks lakini kwa mtindo huu itabidi nifanye ustaarabu wa kuchukua galaxy a10 hapa hapa tu
Hizo demand yake hauwezi kufananisha na Xiaomi, ndio maana wana process mizigo kwa haraka sababu hawana order nyingi.Kuna baadhi ya seller bado wapo fasta Sana mfano Lenovo, niliagiza Z5 na hivi juzjuzi K5 Pro seller alituma mzigo masaa machache tu baada ya malipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah...ila kwenye specs/functionalities wanafanana almost kila kituHizo demand yake hauwezi kufananisha na Xiaomi, ndio maana wana process mizigo kwa haraka sababu hawana order nyingi.
Absolutely, ila kumbuka Xiaomi kingine kinachofanya awe juu kilekeni ni MIUI.Yeah...ila kwenye specs/functionalities wanafanana almost kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara nyingi simu zinafika ndani ya siku 18, ukitumia air mail.so uhakika kuipata ndani ya wiki 2 maana kuna besidei ya mtu yaja kati ya mwezi hapa?
gharama yake haizidi sana?Mara nyingi simu zinafika ndani ya siku 18, ukitumia air mail.
Kweli...MIUI ipo njema sanaAbsolutely, ila kumbuka Xiaomi kingine kinachofanya awe juu kilekeni ni MIUI.
Za kawaida, ww budget yako ni ngp?gharama yake haizidi sana?
isizidi 300kZa kawaida, ww budget yako ni ngp?
Chukua Redmi 7.isizidi 300k
Mbona hiyo inacheza kwenye 310,00 hivi na hapo ni black color kwa maana rangi zingine bei inapanda na bado chajuu hakijaongezwa.Chukua Redmi 7.
Vizuri vina gharama!!mimi mwenyewe natamani kuagiza xiaomi ila mmenitisha maana seller siku 12 bado hajatuma mzigo hapo changamoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Anapata ya hii hapa,... Redmi 7 6.26'' HD 2GB 16GB Snapdragon 632 Octa Core 12MP Dual Camera Mobile Phone 4000mAh BatteryMbona hiyo inacheza kwenye 310,00 hivi na hapo ni black color kwa maana rangi zingine bei inapanda na bado chajuu hakijaongezwa.
Kama ataagiza mwenyewe ahakikishe ana 310K kwenye card ila akiagiziwa hapo aongeze na kibaba cha muagizaji hadi hapo tayari imezidi 300K
Hapo Sawa mi nilifikiri ya 32GBAnapata ya hii hapa,... Redmi 7 6.26'' HD 2GB 16GB Snapdragon 632 Octa Core 12MP Dual Camera Mobile Phone 4000mAh Battery
ohoooMbona hiyo inacheza kwenye 310,00 hivi na hapo ni black color kwa maana rangi zingine bei inapanda na bado chajuu hakijaongezwa.
Kama ataagiza mwenyewe ahakikishe ana 310K kwenye card ila akiagiziwa hapo aongeze na kibaba cha muagizaji hadi hapo tayari imezidi 300K
ujerumani "Usikubali kushindwa kabla hujajaribu.”mimi mwenyewe natamani kuagiza xiaomi ila mmenitisha maana seller siku 12 bado hajatuma mzigo hapo changamoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya chini kumbeee unaisotea siku 12 sasa