Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Duh! Hii simu ndio naitumia ssaivi, niliagiza mwenyewe hadi mkononi kwangu ili gharimu 331,000.
Ndio hivyo wahindi wa highlife huwa wanaongeza laki 2 au zaidi kwenye bidhaa zao.
Ukiagiza mwenyewe au kuagiziwa unaokoa karibia 150K kama si zote cha muhimu ni kuwa mvumilivu tu zile wiki za kusubiria mzigo
 
Hilo halina shida nilikuwa namaanisha zile wiki 2-4 za kusubiria mzigo ufike destination country maana ujue siyo wote wenye uvumilivu wa kihivyo!!!
Utakuta mtu anauliza kumbe lengo Lake achukue kama alivyozoea kuchukua dukani
Kweli, yataka moyo!
 
Natumia note 7 kwa siku ya 3 leo, battery ina drain faster sana kuliko mategemeo. I used to enjoy battery life on my 5 plus.
Nimejaribu kufuatilia kwenye forums lkn sijapata solution ya kueleweka. Ila nimejua chanzo ni MIUI update.
Yangu ni Chinese version turned into global. Naomba kujua km uwezekano wa kuweka updates za nyuma [emoji41][emoji41]
 
Kabla ya kuupdate ilikuwa je?
 
Nimenunua ikiwa hivi hivi sasa sijui kama ilikua updated before
Tayari ume unlock boot loader and rooted?
 
Naomba code za kupata statement
 
Naomba code za kupata statement







Fuata hizo njia then fungua hiyo site utatakiwa ujaze namba za account yako then kila kitu kinatiririka hata ukitaka kudownload statement yako no free
 
Ebu nisaidieni wadau nmeagiza mzigo, nitajuaje umefika nikacheki kwenye box posta?

Status ya mwisho kama wiki moja iliopita, kwenye app ya aliexpress iliandika "cargo accepted by airline" tangu hapo sijui sasa imefika wapi?

Na je itaendelea kuni update mpk unafika? Wazoefu naombeni taarifa ndio nmeagiza kwa mara ya kwanza
 
Endelea kusubiri mkuu utaendelea kupata update hadi mzigo unafika kama inavyoonyesha hapo chini



 
Mkuu Dumelang ukishaanza kuagiza ukanogewa Mbona utaacha kununua vitu bongo!!
Mi karibia electronics zote na phone accessories naagiza tu ng'ambo then naendelea na mambo mengine huku nikisubiri mizigo ifike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…