Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
- Thread starter
-
- #3,021
Mkuu kamera nimedownload kila nikiifungua. Kabla ya kupiga picha inakua inajizima yaani inakataGoogle Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako
Wakuu bila kupoteza muda, Nimeshangaa kuona jukwaa la tech hadi leo hii hakuna uzi special wa GCam au Google camera. Haina ubishi, hii ndio app bora ya Camera kuwahi kutokea,ambayo imetengenezwa na google wenyewe Utakubaliana na Mimi kama tu umeshawahi tumia simu zao za pixel, zile simu...www.jamiiforums.com
Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako
Mkuu kamera nimedownload kila nikiifungua. Kabla ya kupiga picha inakua inajizima yaani inakata
Redmi 7Simu gan
Mkuu redmi bado..inapatkana ya redmi note 7Redmi 7
Ok Sawa maana duuh majangaMkuu redmi bado..inapatkana ya redmi note 7
Hii by stock camera...View attachment 1138942View attachment 1138943
Haya kweli masiharaKula 150, nipo Dom pia
Home bouy wangu nipange nipange kaka tuzamie huko huko China tukawasaidie jamaa kutengeneza.Halafu homebouy tufanye nini ili tajiri wetu abadili muundo wa chaja wa xiaomi .?yaani zisiingiliane kabisa na simu yeyote ile maana sasa hivi mahausigirl and bouys wanaziharibu Tu Kwa kudhani chaja hizo zilisahau kwa wageni waliofikia na wakazisahau .Mamaake niko na 48percent hapa tangu wavaa suruali fupi walipoingia msikitini kwa mara ya kwanzaHaya kweli masihara
Ipo vizur sana..haiba ya google pixel phonesSorry boss picha nlizopiga zote sio nzur kuweka jf imenibidi ntoke nje nipige zingine mkuu wangu ambazo ni common...nmeogopa ban kutoka kwako[emoji23][emoji23]View attachment 1138785View attachment 1138786View attachment 1138787View attachment 1138788View attachment 1138790View attachment 1138791
Za pixel habari nyingine mkuu! Huo ni mfano tu.Ipo vizur sana..haiba ya google pixel phones
Mkuu mbn ni canon hii? Ni toleo lipi...mbn kama canon imetumikaZa pixel habari nyingine mkuu! Huo ni mfano tu.View attachment 1140523View attachment 1140524View attachment 1140525
Hahaha! Sio Canon wala DSLR camera ni Pixel 3.Mkuu mbn ni canon hii? Ni toleo lipi...mbn kama canon imetumika
Hapa kwenye mega pixel 48 ya note 7 katumia lens za GM1 za Samsung ambazo ni 12 MP zinazazoweza kumaximize picha mpaka 48mp Ila note 7 Pro katumia lens ya IMX 586 ya Sony ambayo ni true 48MPMegapixel sio issue,na ndomana hiyo yenye megapixel 48 haifui dafu kwenye hizo simu zilizotajwa
Hii ina-cost bei gani na umenunulia wapi.....!?Hahaha! Sio Canon wala DSLR camera ni Pixel 3.View attachment 1140640
Hiz simu ni kali sana mkuu kwa camera zaoHahaha! Sio Canon wala DSLR camera ni Pixel 3.View attachment 1140640
Hii ina-cost bei gani na umenunulia wapi.....!?
Sikuwahi zifuatilia hizi simu zaidi ya humu jf kumbe zina bei hivyo, but nimecheki amazon kuna pixel plain ipo njema sema ni ya 2006.Hehehe bei yake hyo ni hatari,labda uchukue refurbished unaweza kupata kwa bajeti ya 500k na kuendelea.na kingine naona mnataka midrange phone ziwe na quality kubwa kama flagship ambayo sio sahihi .
Wana mid-range wamezitoa mwezi uliopita.... Pixel 3a XL & Pixel 3a ila bei ni mkasi, zinaanzia $399.Sikuwahi zifuatilia hizi simu zaidi ya humu jf kumbe zina bei hivyo, but nimecheki amazon kuna pixel plain ipo njema sema ni ya 2006.
Kwa amazon unatumia njia gani ili mzigo upokelee posta kama tufanyavyo kwa aliexpress....!?Wana mid-range wamezitoa mwezi uliopita.... Pixel 3a XL & Pixel 3a ila bei ni mkasi, zinaanzia $399. View attachment 1141489