Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 466
- 273
Mkuu..nitupie picha za ile Mi 5 kule PMhapana ni battery tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu..nitupie picha za ile Mi 5 kule PMhapana ni battery tu
Mkuu umerudi za sikuMkuu..nitupie picha za ile Mi 5 kule PM
Balimi za ofa sio nzuri mkuu🤣🤣🤣 Nimeona unajijibu mwenyewe boss vipi hapa.
poa nmechukua no yako nakuchekMkuu..nitupie picha za ile Mi 5 kule PM
Saf Mkuu..kitambo sana,naona bado mnaliamshaMkuu umerudi za siku
Ndio mkuu ulipotelea wapi au ulikua bado haujakamilisha kuhamia dodomaSaf Mkuu..kitambo sana,naona bado mnaliamsha
Umejaribu kufunga apps kwanza na kisha kutoa ruhusa kama hayo maneno yanavyosema hapo chini?Wakuu hapa tatizo ni nini kuna app haiwezi fanya kazi bila kuipa accessibility na nikiipa inatokea pop up kama hii chini kabisa.🤔
Chief-Mkwawa
Chief-Mkwawa
Mr. MobileView attachment 1133770
Nimefungua app nimetoa ruhusa zote ila bado ngoma ngumu asee na si app hyo ni zote zinazohitajo accessibilityUmejaribu kufunga apps kwanza na kisha kutoa ruhusa kama hayo maneno yanavyosema hapo chini?
I mean ku force stop app husika ama app nyengine ambazo zipo on muda huo, click multitasking then close all, halafu urudi na kutoa ruhusaNimefungua app nimetoa ruhusa zote ila bado ngoma ngumu asee na si app hyo ni zote zinazohitajo accessibility
Au labda mimi sijaelewa inahitaji nini hiyo pop up?
Hah hah nilishahamia Mkuu..sku hizi na mimi sio mwanaume wa DarNdio mkuu ulipotelea wapi au ulikua bado haujakamilisha kuhamia dodoma
Karibu kwenye uzi na endelea kushare uzoefu wa bidhaa tajwa hapo juuHah hah nilishahamia Mkuu..sku hizi na mimi sio mwanaume wa Dar
Tupo pamoja Mkuu.Karibu kwenye uzi na endelea kushare uzoefu wa bidhaa tajwa hapo juu
Mkuu bora mkafungua uzi wenu wa kujadili oppo maana hapa ni MIUI mzee babaKati ya simu hiz 2, ipi bora kuliko nyingn? Kwa sifa ipi?View attachment 1134483View attachment 1134484
Hahaaaaa hapo sio pake aiseeeMkuu bora mkafungua uzi wenu wa kujadili oppo maana hapa ni MIUI mzee baba
Heheh nimeuliza..ok nilinganishie hizo na Mi 9 basi ili doa lisiwepo kabsa...Mkuu bora mkafungua uzi wenu wa kujadili oppo maana hapa ni MIUI mzee baba
Uzi umevamiwaKati ya simu hiz 2, ipi bora kuliko nyingn? Kwa sifa ipi?View attachment 1134483View attachment 1134484