Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Ongeza 30000 uchukue Xiaomi redmi 4x,
9466d74cb86c07e7f7cda7a44bd48290.jpg
hautojutia hela yako mkuu..
a103bbf75ec6f4a0f80b43971eef6fd6.jpg

Kazi ni kwako....

Line ngapi hii, naona ka imei 4 hapo.
 
Mi ninayo yangu ila sio global, yani kuna maeneo na maeneo ndio inashika mtandao tena kwa shida
 
5dc555f8528b92cdb698cb1b8c1c6873.jpg
e0e18c0626c05a4739f1ac15fa4a9629.jpg
710af38256f2b4d58b648441c5e0e899.jpg
e88299eb966038d17c42c57f43b954e7.jpg

Xiaomi Redmi Note 4x Best Budget Smartphone Ever.....380000/=

Hii ume agiza toka nje ya nchi au ume nunulia hapa hapa?
Kama umeagiza toka nje kwenye hiyo 380000/= kodi/ushuru ume waachia ngapi.......maana na mm nataka niagize toka nje ila na hofia wazee wa Ushuru/kodi.
 
Hii ume agiza toka nje ya nchi au ume nunulia hapa hapa?
Kama umeagiza toka nje kwenye hiyo 380000/= kodi/ushuru ume waachia ngapi.......maana na mm nataka niagize toka nje ila na hofia wazee wa Ushuru/kodi.
Nimeagiza kutoka China...sijatoa kiasi chochote cha ushuru wala kodi, hiyo 380000/= ni price hadi naitia mkononi.
 
umetumia njia gani mpaka kuepuka kutoa kodi/ushuru?
Hakuna njia yoyote niliyotumia, Mara nyingi mizigo midogo midogo inayotumwa kwa njia ya posta haitozwi ushuru, Ila ukitumia express shipping services kama DHL, EMS, FEDEX, ARAMEX NK. Lazma ulipe ushuru hata kama parcel ni ndogo vipi.
 
Hakuna njia yoyote niliyotumia, Mara nyingi mizigo midogo midogo inayotumwa kwa njia ya posta haitozwi ushuru, Ila ukitumia express shipping services kama DHL, EMS, FEDEX, ARAMEX NK. Lazma ulipe ushuru hata kama parcel ni ndogo vipi.
bado ipo hiyo huduma posta?
 
wakuu naombeni msaada wenu nimunua mi max angu ila inae rom ya kichina nataka kuiflash nipate global stable rom naomben mnielekeze jinsi ya kuinstall hiyo global stable rom au anaejua anipe namba zake nimtafute hv
 
sd820 kwa dola 200 ni bonge la simu, ila le eco hio kampuni inafilisika, hivyo ununue hali ya kuwa unajua hutapata support yoyote, kuanzia spea ikiharibika, support ya software ikizingua, warranty etc.
Pia battery 3100ah tofauti na xiaomi redm note 4 ni 4100ah
 
Icheck hapa ni kama 1.3M
8c2dbc6b85d9cf4b17f3dfbe2cf9dc60.jpg
dea977ef322834cc07a67f55596b9aba.jpg

Xiaomi Mi Mix 2 4G Phablet 5.99 inch MIUI 8 Snapdragon 835 2.45GHz Octa Core 6GB RAM 128GB ROM Fingerprint Scanner 12.0MP Rear Camera
Main Features:
Display: 5.99 inch, 2160 x 1080 pixels screen
CPU: Snapdragon 835 2.45GHz Octa Core
System: MIUI 8
Camera: 12.0MP rear camera + 5.0MP front camera
Sensor: Accelerometer, Ambient Light Sensor, E-Compass, Gravity Sensor, Gyroscope, Hall Sensor, Proximity Sensor
SIM Card: dual SIM dual standby, Nano SIM / Nano SIM
Naona kama wameiminya bettery 3400ah
Kwa watu wa mazoezi isikupite hii smart band from Xiaomi Mi.
76febe6b4f2e02d2ba100cd694c1811d.jpg
6456b0013ddfb766bdd762d6371a734a.jpg
 
Back
Top Bottom