Nsumba ntale tz
JF-Expert Member
- Apr 19, 2016
- 713
- 762
nilikuwa natumia not 6 pro sasa jana nimeupdate inaniadikia simu iko locked iko assosieted na namba moja hiv ya kenya so inataka password ili kuunlock nafanyaje wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo simu ni second hand?nilikuwa natumia not 6 pro sasa jana nimeupdate inaniadikia simu iko locked iko assosieted na namba moja hiv ya kenya so inataka password ili kuunlock nafanyaje wadau
nimempelekea fundi mmoja hapa mwanza katoka jasho anasema hii ni kama iphone vile ati mpaka aipeleke nairobi, so nahitaji msaada wenu wajuvi
Zile ni kwa ajili ya india na china tu mkuu,global hakuna.ingia gearbest au banggood unaweza kupataWakuu mbona redmi note 7pro naitafuta sana aliexpress siipati? Au stock ishaishagaa,?
Wakuu mbona redmi note 7pro naitafuta sana aliexpress siipati? Au stock ishaishagaa,?
Ccnilikuwa natumia not 6 pro sasa jana nimeupdate inaniadikia simu iko locked iko assosieted na namba moja hiv ya kenya so inataka password ili kuunlock nafanyaje wadau
Hiyo simu bila shaka ulinunua kwa mtu inavyoonekana mwenye simu kailock remotely. Au labda umeristore hivyo inadai mi account iliyokuwa iko installed. Kuitoa hiyo itakuwa si rahisi especially kama bootloader itakuwa locked inabidi upate account ya hiyo simu ndio uweze ku unlock.
It means Mi nao wana security nzito hivi ambayo inashindikana?Hiyo simu bila shaka ulinunua kwa mtu inavyoonekana mwenye simu kailock remotely. Au labda umeristore hivyo inadai mi account iliyokuwa iko installed. Kuitoa hiyo itakuwa si rahisi especially kama bootloader itakuwa locked inabidi upate account ya hiyo simu ndio uweze ku unlock.
Yah sikuizi wamebana. Zamani kulikuwa kuna njia ya ku bypass ila wakablock kutokana na baadhi ya sellers kuuza simu za china market kwa kuflash global ROM bila ku unlock bootloader.It means Mi nao wana security nzito hivi ambayo inashindikana?
Ko mi yangu ikipotea Mtu hataweza ku access.Yah sikuizi wamebana. Zamani kulikuwa kuna njia ya ku bypass ila wakablock kutokana na baadhi ya sellers kuuza simu za china market kwa kuflash global ROM bila ku unlock bootloader.
Yes. Ila hakikisha mi account ipo halafu na simu kadi yako ikiwa activated mtu akiweka line nyingine kwenye micloud huwa inaonyesha namba yake na location yake.Ko mi yangu ikipotea Mtu hataweza ku access.
Hawa huwa wanaship kuja bongoland?Zile ni kwa ajili ya india na china tu mkuu,global hakuna.ingia gearbest au banggood unaweza kupata