ela ninayo nataka nijue kwa TZ nitapata wapi nashida ya harakaAndaa bajeti ya laki mbili na zaidi, hiyo screen yake ni Super Amoled
Kwa Tanzania sijui vinapatikana wapi, kama unahitaji kwa haraka agiza China na usafirishe kwa DHL.ela ninayo nataka nijue kwa TZ nitapata wapi nashida ya haraka
Msaada jaman tecno inasoma laini lakini haipandishi minara
Tuwasiliane kwa msaada zaidi.Msaada jaman tecno inasoma laini lakini haipandishi minara
Niseme Tu kua Xiaomi redmi 7a moja ya simu ndogo na kazuri zaidi toka Xiaomi nimemnunulia shemeji /WiFi yenu
Usalama upo pale umekuwa makini. Ila usiwe makini kupitiliza. Jumia sijawaji tumia ila ninachojua online store yoyote lazima iwe na upande wa review utakapokuta fèedback za raia walonunua. Utaona pia kauza bidhaa ngapi na pia ni member wa level ganWadau kuna usalama wa pesa kununua bidhaa Jumia?
Msaada tafadhali nataka kujilipua
Jumia ina hivyo vitu ulivyovitaja kweli??Usalama upo pale umekuwa makini. Ila usiwe makini kupitiliza. Jumia sijawaji tumia ila ninachojua online store yoyote lazima iwe na upande wa review utakapokuta fèedback za raia walonunua. Utaona pia kauza bidhaa ngapi na pia ni member wa level gan
Usalama upo pale umekuwa makini. Ila usiwe makini kupitiliza. Jumia sijawaji tumia ila ninachojua online store yoyote lazima iwe na upande wa review utakapokuta fèedback za raia walonunua. Utaona pia kauza bidhaa ngapi na pia ni member wa level gan
Wadau kuna usalama wa pesa kununua bidhaa Jumia?
Msaada tafadhali nataka kujilipua
Wadau kuna usalama wa pesa kununua bidhaa Jumia?
Msaada tafadhali nataka kujilipua
Mi nishanunua sana ila huwa natumia option ya kulipa nikishapokea mzigo,yaani anekulete mzigo ndo unampa hela
.Wakuu mzigo nimeuagiza tarehe 08/09/19 mpaka sasa tracking inasoma kama ifuatavyo, lakini katika maandishi ya kijani hapa sijaelewa tafadharini naomba mnieleweshe. View attachment 1212933View attachment 1212935
Nenda posta kafate mzgo wako
Poa poa mkuuMzigo ushawasili Tanzania ukichelewa unaweza rudishwa na posta
So nenda posta mzee
Poa mkuuNenda posta kafate mzgo wako
Mkuu hii Ni India au ChinaJipatie hii kwa 495,000 tu brand new na ni GB 64. Redmi Note 7
View attachment 1210312
Ila aki unlock Bootloader mkuu hupati kitu.Yes. Ila hakikisha mi account ipo halafu na simu kadi yako ikiwa activated mtu akiweka line nyingine kwenye micloud huwa inaonyesha namba yake na location yake.
Bootloader ya xiaomi lazma utumie account iliyokwepo ku unlock.Ila aki unlock Bootloader mkuu hupati kitu.
Ajiribu ku unlock Bootloader then a flash kwa ROM sahihi...