Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Nasikia M-pesa Master Card ni Prepaid card tu kwamba unafanyia malipo ila haipokei... Hii imekaa vp?
 
Smartphones hazijaundwa kufanyiwa upgrade hivyo hii replacement haiwezekani kufanyika. Kwa smartphones kadhaa za zamani zilikuwa zina matoleo yote mawili ya screen AMOLED na LCD kwahiyo ilikuwa inawezekana kufanya replacement.
Ila kwa upande wa pili kama unavyojua screen za AMOLED ni ghali sana hivyo kuna watengenezaji wa hizi screen wanatengeneza LCD screen endapo mtu atashindwa kumudu gharama za AMOLED screen pale simu yake ikipata damage na akashindwa kumudu gharama, ananunua na kuifunga LCD screen na itafanya kazi bila shida. Lakini kwa swali lako eti utoe LCD uweke AMOLED is highly unlikely to be possible!

Tofauti kubwa ya LCD screen inakuwa ina taa kwa nyuma ambazo ndio zinazalisha mwanga wa screen, wakati S-AMOLED screen inakuwa inazalisha mwanga yenyewe ndani ya screen. Hivyo inaifanya AMOLED screen kuwa ni more power efficient kuliko LCD screen inayotegemea taa kuzalisha mwanga.

Kwenye hizi Chipset za simu kuna kampuni inaitwa ARM ndio mtengenezaji, na baadae anauza technology yake kwa haya makampuni kama Qualcomm (Snapdragon) Samsung (Exynos), Huawei (Hisilicon), Apple. Halafu ndio wanaenda ku modify wao wenyewe wanavyotaka, kama kuongezewa speedi au uwezo wa graphics na kadhalika. Hivyo kila SoC ina pros & cons kutokana ni kipaumbele cha hiyo kampuni.

Nadhani utakuwa umepata uelewa kwa kiasi fulani.
Naomba unitajie simu ya xiaomi au Oppo ya 350-450tsh online, yenye super amoled screen, inayokubali bands zote.
Vp Xiaomi note 7 inayo s-Amoled.
 
Nimenunua redmi note 7 ya 6/64gm, kama wiki 2 iliyopita, juzi nili download app ya dstv ila kila nikitaka ku play channel napata ujumbe kuwa siwezi kutumia app yao kama simu yangu haijawa verified na google, kweli nikaenda kuchungulia kule google play inaonekana simu yangu siyo verified nikajua nimeuziwa simu fake ila nikajaribu kutuma imei tcra kujua kama ni fake au lah ila sms ya tcra inaonyesha simu yangu siyo fake ni xiaomi, sasa kwanini simu hii siyo verified na google,
Screenshot_2019-10-03-19-56-49-414_com.android.mms.jpeg
 
Nimenunua redmi note 7 ya 6/64gm, kama wiki 2 iliyopita, juzi nili download app ya dstv ila kila nikitaka ku play channel napata ujumbe kuwa siwezi kutumia app yao kama simu yangu haijawa verified na google, kweli nikaenda kuchungulia kule google play inaonekana simu yangu siyo verified nikajua nimeuziwa simu fake ila nikajaribu kutuma imei tcra kujua kama ni fake au lah ila sms ya tcra inaonyesha simu yangu siyo fake ni xiaomi, sasa kwanini simu hii siyo verified na google,View attachment 1222884
Nadhani simu yako itakua Chines Rom,wapo wataalum humo watakushauri la kufanya
 
mimi kuna kitu nilinunua hakikufika nikaopen dispute wakasema watarefund within 3-20 days ila mbaka sasa ni almost 2 month sion pesa kwenye master card nikiwachek wanasema washarudisha niwasiliane na aliexpress

nawasiliana nao vp kwenye email au kwenye app? maana hata sion sehem ya kuwasiliana nao
Mkuu bado sijakuelewa...
Anae sema amesha rudisha pesa ni?

Na anaesema uwasiliane na Aliexpress ni nani?
 
Yes kwenye AliExpress zipo

TZS 565,519.36 | Realme X Mobile Phone 6.35 inch AMOLED Screen 4GB RAM 64GB ROM Snapdragon 710 Octa Core 48.0MP 3765mAh Super VOOC Smartphone

TZS 457,468.58 | Original Realme X Lite Mobile Phone 6.3 inch 4GB RAM 64GB ROM Snapdragon 710 Octa Core Android 9.0 Dual Rear Camera Smartphone

TZS 459,767.54 | Global Version OPPO realme 3 pro 6.3 inch 4/6GB 64/128GB Smart Moblie Phone 4045mAh 16+5MP Dual Camera VOOC Fast Charge 3.0
Mkuu hiyo lugha, mbona ni mtihani wakati wa ku-order?!
 
Mimi nimepokea refund mara kadhaa toka PayPal na Alipay via mpesa Mastercard
Mkuu unewzaje kujiunga na Alipay maana kipindi fulani kwenye list ya nchi sikuona Tz nilijaribu kuwauliza lakini sikupata majibu. Tafadhali nisaidie maelezo ili niweze kulink catd na alipay. Natanguliza shukrani zangu kwako
 
Mkuu unewzaje kujiunga na Alipay maana kipindi fulani kwenye list ya nchi sikuona Tz nilijaribu kuwauliza lakini sikupata majibu. Tafadhali nisaidie maelezo ili niweze kulink catd na alipay. Natanguliza shukrani zangu kwako
Ukishajiregister ali express unaingia automatically mwenye system ya Alipay.
 
Ningependa kujua jinsi ulivyolink.
Weka kama buku 5 kwenye virtual card yako then ingia PayPal ujaze detail zote muhimu pamoja na taarifa źa card yako.
Ukikamilisha utatumiwa verifications code toka mpesa au ingia https://www.whatsonmycard.com/ utaingiza namba za card yako then apply statement ili upate hizo code za kuwezesha card yako kuwa linked
 
Capture.JPG


Kama kawaida Singapore Post siku 10 kitu kishatia nanga Shida ni hawa ndugu zetu wa TPC ndio hawasomeki.
mzigo umetua Dar tangu 26/09/2019 na Destination ni Temeke Chang'ombe ila naona unalanda landa tu wiki sasa mara Kariakoo,Mara Pugu Road yaani hata sielewi kabisa hawa jamaa kazi imewashinda au?
Wakongwe kina Mwl.RCT nini ninachoendelea hapa?
UPDATES
Mzigo nimeupata posta husika 08/10/2019 seller alikosea kwenye address
 
Pugu Road yaani hata sielewi kabisa hawa jamaa kazi imewashinda au?
Wazoefu kina @Mwl.RCT nini ninachoendelea hapa?
Nadhani kuna shida kwenye uandishi wa anwani.

Chakufanya, wapigie TPC hq, wape hiyo tracking number na wape maelekezo na mzigo utakufikia.

au Fika wewe binafsi posta mpya waonyeshe hiyo print out na watakusaidia kuutafuta huo mzigo na utakabidhiwa.
 
View attachment 1223869

Kama kawaida Singapore Post siku 10 kitu kishatia nanga Shida ni hawa ndugu zetu wa TPC ndio hawasomeki.
mzigo umetua Dar tangu 26/09/2019 na Destination ni Temeke Chang'ombe ila naona unalanda landa tu wiki sasa mara Kariakoo,Mara Pugu Road yaani hata sielewi kabisa hawa jamaa kazi imewashinda au?
Wakongwe kina Mwl.RCT nini ninachoendelea hapa?
Hiv kama singapore post hayuko kwenye list ya shipping unafanyaje?
 
Back
Top Bottom