Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 845
- 722
Ahaa ahsante mkuuChukua rock zircon. Bt pia kama unapenda v shape earphone. Angalia Plextone x41m imezifunika zote mbil na ni bei cheap zaid
Tafuta earphone zinaitwa "1More Piston Fit"Samahani wakuu
Nataka niagize earphone 1
Wale wataalamu wa earphones ,ipi ni bora hapa kati ya JBL na hii ROCK ZIRCONE?
Naombeni ushauri kidogo
[emoji818]napenda yenye bass la kufa mtu,na sauti iliyo clear,
[emoji818]kama kutakua na earphone unaijua ipo vizuri zaidi ya hizo nilizo taja niambie ,nataka niagize 11/11View attachment 1254556View attachment 1254557
Mie nateswa na China registered mail. Mzigo left country of orgini tangu tarehe 27/10/19 leo ni siku ya 09, mzigo haujatua Tanzania
Zinaenda bei gani hizi kiongozi?Tafuta earphone zinaitwa "1More Piston Fit"View attachment 1254659
Ajabu nimetoka leo nimewap truck no. Wakachek wakaona ushapewa ila bado haujaruhusiwa kutoka.na umepewa ile ya RDP yaana hapo nakutana na bwana tra na mzigo wenyee ni mdogo tu,ajabu mingine ya ukubwa zaidi ya huwa nimepewa no. Za kawaida yaan kutolipia kodi.Hapo nimewaachia kwanza wakae nao maana kwa ss naona wametuamulia tuache kuagiza vitu nje.Ukiona mzigo unachelewesha anza kuwasiliana na supplier mapema tu, umueleze haujafika local post office.
Ahsante Mr. MobileTafuta earphone zinaitwa "1More Piston Fit"View attachment 1254659
Mie nateswa na China registered mail. Mzigo left country of orgini tangu tarehe 27/10/19 leo ni siku ya 09, mzigo haujatua Tanzania
Around $8-10Zinaenda bei gani hizi kiongozi?
Yaani hawa balaa now wako slow Sana. Nina mzigo WA watu basi daah full simu hapa.Mpaka naiogopa[emoji23]
Mbaka usibiri tarehe 11 kwa punguzo la 1500 si bora uagize tu saiziSamahani wakuu
Nataka niagize earphone 1
Wale wataalamu wa earphones ,ipi ni bora hapa kati ya JBL na hii ROCK ZIRCONE?
Naombeni ushauri kidogo
[emoji818]napenda yenye bass la kufa mtu,na sauti iliyo clear,
[emoji818]kama kutakua na earphone unaijua ipo vizuri zaidi ya hizo nilizo taja niambie ,nataka niagize 11/11View attachment 1254556View attachment 1254557
Sio lazima 11/11 hata 12/11 ntanunua,issue ilikua ni kupata uzoefu tu wa wadau/wazoefu ,na nimeshapata tayari[emoji115]Mbaka usibiri tarehe 11 kwa punguzo la 1500 si bora uagize tu saizi
Baada ya kuwasiliana..Ukiona mzigo unachelewesha anza kuwasiliana na supplier mapema tu, umueleze haujafika local post office.
Wasiliana na seller kwanzaWadau nimeagiza simu ikawa prossesed tar8 na shipped tar kumi mwez wa10, mpaka sasa sioni update mzigo umefika wap wadau,je niopen dispute au nitulie kwanza?
Mi Note 10 Pro With Snapdragon 855+ and 90Hz refresh rate 🙃Nashindwa kuelewa ni kwanini Xiaomi wamekwama kwenye kioo cha 90hz refresh rate QHD
Mkuu msaada hapo, natakiwa kufanyaje mana nlijaribu ku dispute ikaniletea jibu hiloUkiona mzigo unachelewesha anza kuwasiliana na supplier mapema tu, umueleze haujafika local post office.
Hapo hadi zile siku 60 zitimie ndio utaweza kufungua kufungua dispute.Mkuu msaada hapo, natakiwa kufanyaje mana nlijaribu ku dispute ikaniletea jibu hiloView attachment 1255321
Natafuta kioo cha Xiaomi Redmi note 7 Kwa yeyote anajua kinapopatikana na bei yake