Thefreedom
JF-Expert Member
- Jan 27, 2019
- 319
- 314
Eeeeh wameleta update
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepata vipi mkuu maana mimi RN7 yangu hadi leo kimyaEeeeh wameleta update View attachment 1255538View attachment 1255539
Umepata vipi mkuu maana mimi RN7 yangu hadi leo kimya
Update imetoka kwa global version officially nimeupdate nw tuHata Mimi Mkuu naona kimyaaa..
Update imetoka kwa global version officially nimeupdate nw tu
Usijali utapata tu kiongozi nchi umeweka ipi weka tz plzHata mimi global version
Nimeweka Tanzania mkuu ila nafsi inaniambia niweke India maana Tz imesahaulikaUsijali utapata tu kiongozi nchi umeweka ipi weka tz plz
Hahaaaa mie nimeipat na country ikiwa ni Tanzania , afu mkuu bangojeupe, huu uzi umekua kama wako eeeh unatamba tu, na hujalipia ata kodiNi Nimeweka Tanzania mkuu ila nafsi inaniambia niweke India maana Tz imesahaulika
Hakika ulichosema ni sahihi kabisa. Muda mwingi watu wanarudia pia aina ya maswali au hoja ambazo zimekwisha jadiliwa kwenye post zilizopita. Tujifunze kupitia nyuzi za awali.Mimi kama mzoefu wa kuangiza kwazaidi ya 7yrs naona kinachowasumbua watu wengi hapa ni kukosa uvumilivu, ugeni ambao wengi ulitukuta na kingine kutokufanya utafiti wa baadhi ya mambo kabla huja- place order mfano kuangalia mapendekezo ya waliokwisha kununua kutoka kwa huyo seller.
Hahaaaa mie nimeipat na country ikiwa ni Tanzania , afu mkuu bangojeupe, huu uzi umekua kama wako eeeh unatamba tu, na hujalipia ata kodi
Haya kiongozi tamba tamba tu bouy ndio uhuru na nafasi ya jamii forumsAcha nitambe mkuu angalau nami leo naweza kushea ninachokijua
Kweli na mimi ninayo. Nzuri sana. Ila yangu ni ya kichina... mambo mengi ni kichina nilinunua Beijing , it was for China consumers. Kuna vitu vinanipiga chenga kwa sababu ya lugha.
Anatoa simu kama anagawa njugu!Haya ndugu yenu Xiami katoka na mi Note 10[emoji3][emoji3] mkanunue. Karuka mi note 9. Pitien youtube muione ina camera megapixel 108. Camera 5, amoled screen
Kwa specifications hizi ingekuwa samsung ingeuzwa hata mil 3Haya ndugu yenu Xiami katoka na mi Note 10[emoji3][emoji3] mkanunue. Karuka mi note 9. Pitien youtube muione ina camera megapixel 108. Camera 5, amoled screen
Hizi msizilete humu please.Hii inauzwa milion 23