Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Tukibadilishana na Xiaomi mi max utaniongeza bei gani
 
Kwa mwenye uhitaji wa mi max imetumika miez 3 na ni global version tuonane pm
 
Acha kukaririshwa vitu mimi natumia xiaom redmi 4x inapiga picha angavu balaa wenye Samsung wamekuja wanataka wanipe na pesa Juu nakaataa sio kuwa Samsung ni Mbaya Hapana wanatokea kuipenda sana simu yangu pia hawazijui
 
Acha kukaririshwa vitu mimi natumia xiaom redmi 4x inapiga picha angavu balaa wenye Samsung wamekuja wanataka wanipe na pesa Juu nakaataa sio kuwa Samsung ni Mbaya Hapana wanatokea kuipenda sana simu yangu pia hawazijui
pia kupata samsung yenye spec za xiaomi redmi 4x kama yako lazima mtu ataingia mfukoni sanaaaa yan lazma achimbe na jembe hyo pesa yake balaa..

lakin xiaomi ni best quality at an affordable price
 
pia kupata samsung yenye spec za xiaomi redmi 4x kama yako lazima mtu ataingia mfukoni sanaaaa yan lazma achimbe na jembe hyo pesa yake balaa..

lakin xiaomi ni best quality at an affordable price
Saana mkuu yangu inawatoa watu Udenda simu tamu sana hizi
 
Acha kukaririshwa vitu mimi natumia xiaom redmi 4x inapiga picha angavu balaa wenye Samsung wamekuja wanataka wanipe na pesa Juu nakaataa sio kuwa Samsung ni Mbaya Hapana wanatokea kuipenda sana simu yangu pia hawazijui
Mkuu hivi kuna ugumu gani kumuelewesha mtu bila kutumia maneno kama hayo? Sasa mi nimekaririshwa wapi... Just nimeomba maelezo tu. But thanks, nimekusoma fresh.
 
Mkuu hivi kuna ugumu gani kumuelewesha mtu bila kutumia maneno kama hayo? Sasa mi nimekaririshwa wapi... Just nimeomba maelezo tu. But thanks, nimekusoma fresh.
Sipendi muanzishe ugomvi mimi mwenyewe nimenunua Simu hio.nilipoona kua ina vitu vingi ndio nikaanzisha mada hio so nw ninapata ujuzi zaidi kupitia maoni ya wengine we mnyamwezi tengua kauli yako kabla sijakuombei xiaomi yako iibiwe uje ulie lie hapa
 
Sipendi muanzishe ugomvi mimi mwenyewe nimenunua Simu hio.nilipoona kua ina vitu vingi ndio nikaanzisha mada hio so nw ninapata ujuzi zaidi kupitia maoni ya wengine we mnyamwezi tengua kauli yako kabla sijakuombei xiaomi yako iibiwe uje ulie lie hapa
Mkuu sijamaanisha vibaya ila maana yangu ni kuwa asisikilize ya kuambiwa [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mkuu sijamaanisha vibaya ila maana yangu ni kuwa asisikilize ya kuambiwa [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hahaaaaa usijali si unajua sie wazee wa kazi tu alafu Ingia inbox mara moja kwanza tujadili jibu la kumpa huyo ndugu yetu mngoni wa songea maana najua ni mtani wetu huyo
 
Its ok broo ..kiufup kiutendaj cam yake ipo poa cjawah iwekea maxhaka yyt front & back
Gearbest niliwai kuwatumia, lakini kwa siku za karibuni nanua kupitia aliexpress na banggood.
 
Mkuu hivi kuna ugumu gani kumuelewesha mtu bila kutumia maneno kama hayo? Sasa mi nimekaririshwa wapi... Just nimeomba maelezo tu. But thanks, nimekusoma fresh.
kama mfukoni kunene tafuta Xiaomi mi mix hutojuta hata ukiwa mbele ya mtu mwenye iPhone x au hayo ma galaxy s8, uzuri wa xiaomi ni unique product kwa Tanzania yetu angalia hapa Xiaomi Mi Mix - Full phone specifications
 
Nilikuwa natumia Redmi note 3 ila imeibiwa. Ni simu nzuri sana zinakaa na chaji na utumiaji ni rahisi, camera ya ukweli processor nzuri pia. Na storage nzuri pia ambayo unaweza kusync vitu vingi ikiwemo contacts, images, notes, videos na messages za kawaida. Pia ina second space ambayo inaweza kuwa na apps zake tofauti na space ya kwanza (yaani kama windows anavyoingia admin na guest).

Natangaza rasmi kuhamia XIAOMI, na hata PC nitanunua za hii kampuni.

Natafuta mtaalamu anaeweza kunisaidia kuitrack simu yangu niipate tena, nimetumiwa ujumbe na fb huyo mwizi anajaribu kulogin kwenye account yangu ya fb.

Mwenye ujuzi huo at any cost awasiliane nami dm nataka kuirudisha ile simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…