Mkuu hebu nenda posta ukiwa na hiyo tracking number na kitambulisho chako ujaribu kuulizia.Wadau nimepata hii update delivery failed,,,
Je inamaana mzigo ndo umepotea,au nifanye nini wadau maana sielewi kabisa.
SangaweJr
Shaffin Simbamwene
View attachment 1265852
Wadau nimepata hii update delivery failed,,,
Je inamaana mzigo ndo umepotea,au nifanye nini wadau maana sielewi kabisa.
SangaweJr
Shaffin Simbamwene
View attachment 1265852
Hiyo labda Kwa items ndogo ndogo!!
Kwa simu utaambulia box,Charger na manual book's
HahahaaaaaaSasa ninayokwambia nilitumiwa ni simu. Umidig ya 99usd
Kwanza mzigo ukishatua dar, ukasikaniwa umefika salama, hauibiwi tena. Maana kumpata mfanyakazi alieiba ni rahsi. Pili sisi wengine tushajenga mazoea na wahudumu wa posta, huku mkoani wahudumu ni wawili tu usipomkuta huyu unamkuta yule. Tumekuwa marafiki, anaanzaje kukuibia? Cku hizi mie tracking ikisoma tu mzigo umefika na dada anapiga simu kaka mzigo wako mwingine umekuja.
Tatizo hamjui kwenda nao sawa wawafae kwenye shida pia. Mtu anakupa mizigo daily hata 100 ya soda humpi. Hapa nasafiri wiki ijayo, na nimeagiza simu. Dada kasema ikifika tu nakufowadia[emoji3] kuna kipindi alinitunzia kabisa zaidi ya mwezi.
Unazungumzua power saving mode. Mimi si zungumzii hiyo. Angalia moja ya features zilizoongezwa kwenye MIUI 11 ni betri saver mkuu angalia hiyo video utaelewa ninacho zungumzia. Labda miui 10 unayotumia wewe na ninayo tumia mimi zinatofauti.
NB: Acha ile feature inayofanya betri kuwa rangi ya orange. Hii ni nyingine.
Sasa ninayokwambia nilitumiwa ni simu. Umidig ya 99usd
Kwanza mzigo ukishatua dar, ukasikaniwa umefika salama, hauibiwi tena. Maana kumpata mfanyakazi alieiba ni rahsi. Pili sisi wengine tushajenga mazoea na wahudumu wa posta, huku mkoani wahudumu ni wawili tu usipomkuta huyu unamkuta yule. Tumekuwa marafiki, anaanzaje kukuibia? Cku hizi mie tracking ikisoma tu mzigo umefika na dada anapiga simu kaka mzigo wako mwingine umekuja.
Tatizo hamjui kwenda nao sawa wawafae kwenye shida pia. Mtu anakupa mizigo daily hata 100 ya soda humpi. Hapa nasafiri wiki ijayo, na nimeagiza simu. Dada kasema ikifika tu nakufowadia[emoji3] kuna kipindi alinitunzia kabisa zaidi ya mwezi.
Karibuuu mkuuVery soon ntakua mwanafamilia wa Miui
Can't wait 2 days to go
Shukrani aiseee nasubir j5 nifanye unboxing mwenyeweeeeKaribuuu mkuu
J5!!!? xiaomi au kampuni gani mkuu?Shukrani aiseee nasubir j5 nifanye unboxing mwenyeweeee
J5 = Wednesday itakua ime fika ivo nitaifungua mwenyewJ5!!!? xiaomi au kampuni gani mkuu?
J5 = Wednesday itakua ime fika ivo nitaifungua mwenyew
Yaaan unboxing man
Sim ni Redmi Note7
Lini mzee tupia mafoto hata ys maboks boksi utoe hamasa kwa wadauKaribu nimekuwahi kidogo japo sijafika mbali.
Umeeleweka vyemaa kabisa, mimi nipo mbioni kuhamia Note 8.J5 = Wednesday itakua ime fika ivo nitaifungua mwenyew
Yaaan unboxing man
Sim ni Redmi Note7
Umeeleweka vyemaa kabisa, mimi nipo mbioni kuhamia Note 8.
Sijui ilikuwaje kwako lakini juzi nimechukua mizigo yangu tofautitofauti, kama kawaida nimechukua bila makato yoyote pale posta kuu ya DSM
iyo kulipa 2300 inatokana na kutojaza sanduku la posta lilioko active ndo utalipia iyo elfu mbili lakini ukijaza ilio active unachukua izo parcel ndogo zisizo na mambo ya custom bure kabisa
iyo kulipa 2300 inatokana na kutojaza sanduku la posta lilioko active ndo utalipia iyo elfu mbili lakini ukijaza ilio active unachukua izo parcel ndogo zisizo na mambo ya custom bure kabisa