Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Ko Alitoa kodi shingapi kwa hii Simu???
 
Huku mtaani kwangu hii simu yangu Redmi7 wanaiona Kama iPhone ya Android mkuu, waishikashika na kuigeuzageuza waitazamapo Yani ni kanakwamba hawajawahi kuiona....kumbe kweli walikuwa hawajawahi Iona[emoji38][emoji38]
nipe link yake ya aliexpress pm nikainunue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…