Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Kwa watu mnaonunua bidhaa za bei kubwa kutoka AliExpress: ningependa kuwa sisitizia muwe mnajilinda kwa kurekodi unboxing zenu. Kama mimi kwa mfano, nikipokea mzigo wangu toka posta siufungui, nafika home, nachukua simu yangu naiweka kwenye kaangle flani then naanza kufungua box na kutoa kitu kimoja baada ya kingine hadi kujiridhisha.

Hii itakupa ulinzi kama bidhaa itakuwa na issue, umetumiwa box tupu n.k maaana ukifungua dispute na kuambatanisha video hiyo utaaminika zaidi. Ma seller wengi sio watu wazuri kule.
Ndio utaratibu wangu miaka yote tena nafungulia pale pale posta siyo home
 
RUFUBISHED NA USED KUNA UTOFAUI GANI?
Used= imetumika
Refurbished= Mpya ila imekuja na kasoro fulani so imepigwa spana kufanyiwa marekebisho.
Manufacturer refurbished huwa zimerudishwa kiwandani kurekebishwa, hizi ndiyo mzuka!!
Kama unataka kununua refurbished bora uende eBay au amazon siyo Aliexpress maana nyingi ni sellers refurbished(used wanazirepair) ukinunua inakula kwako.
 
Baada ya kuipata redmi note 7 ,
sasa nakwenda kujilipua na kitu cha MI A 3 kwa sababu hizi:
Amoled display
Selfie kali
Ukaaji wa chaji
Na jinsi ni rahisi kushikika mkononi
 
Hiyo redm note 7 nimeishika juzi, sijawah ishika zaidi ya kuona yutubu tuu..ni simu moja makin sana
mkuu hii kitu ime fika jana
ime nitoka 400K
uzuri nili muagiza mtu direct apa na enjoy tu hata mikeka itakua ina tick vzuri [emoji23][emoji23]
SAVE_20191121_223338.jpg
Screenshot_2019-11-21-22-28-59-915_com.android.settings.jpg
 
Zitakuja kikubwa nikupunguza presha. Pili uwe na app zaidi ya mbili za kufanya tracking. Huwa zinasoma tofauti tofauti. Binafas na tracking app 4. Alafu online na track kwa kutumia web ya posta Tanzania upande wa international, status zake huwa zina maelezo mazuri zaidi. Kuna tracking zinatoa maelezo ya juma jumla.

Kwa mfano, kuna tracking mzigo ukifika nchini, zinaandika tu, arrived at local distribution, zingine zinasema parcel at destination country, nyingine inakupa maelezo kabisa. Dar es salaam inward office of exchange nk nk

Mfano wa pili, ukitrack aliexpress wenyewe mzigo uliokuja kwa singapore post. Inaganda tangu siku inapoondoka china rasmi, watakujuza tu "left the country of orginal" hapo watakupa update ikitua dar. Lakini ukiu track kwenye app nyingine utaonesha mzigo umeenda mpaka Singapore, pale ukitoka unaambia "shipped by postal admin overseas to DAR/TZ" [emoji3][emoji3]

Uzoefu raha bana. Na ukizoea online unaagiza hadi pencil kwa bei ambayo ungepata Bongo
Mzee tumeingia cha kike
 
Zitakuja kikubwa nikupunguza presha. Pili uwe na app zaidi ya mbili za kufanya tracking. Huwa zinasoma tofauti tofauti. Binafas na tracking app 4. Alafu online na track kwa kutumia web ya posta Tanzania upande wa international, status zake huwa zina maelezo mazuri zaidi. Kuna tracking zinatoa maelezo ya juma jumla.

Kwa mfano, kuna tracking mzigo ukifika nchini, zinaandika tu, arrived at local distribution, zingine zinasema parcel at destination country, nyingine inakupa maelezo kabisa. Dar es salaam inward office of exchange nk nk

Mfano wa pili, ukitrack aliexpress wenyewe mzigo uliokuja kwa singapore post. Inaganda tangu siku inapoondoka china rasmi, watakujuza tu "left the country of orginal" hapo watakupa update ikitua dar. Lakini ukiu track kwenye app nyingine utaonesha mzigo umeenda mpaka Singapore, pale ukitoka unaambia "shipped by postal admin overseas to DAR/TZ" [emoji3][emoji3]

Uzoefu raha bana. Na ukizoea online unaagiza hadi pencil kwa bei ambayo ungepata Bongo
Safi! Mkuu nipe tracking app nzuri kuliko zote maana natumia track24 hapa
 
Back
Top Bottom