skate-board
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 490
- 577
Nimepitia reviews mbalimbali naona wanaikosoa kutokuwa na full hd,, na contrast yake sio nzuriPamoja na Maoni ya wadau pia Kama unataka kujua madhaifu zaidi Fuatilia YouTube video na comment zake utapata kitu
Nimepitia reviews mbalimbali naona wanaikosoa kutokuwa na full hd,, na contrast yake sio nzuri
Sasa hapa nabaki njia panda
Ulishawishiwa na super amoled.
Nimepitia reviews mbalimbali naona wanaikosoa kutokuwa na full hd,, na contrast yake sio nzuri
Sasa hapa nabaki njia panda
Eee mkuu icho ndo kilichoniponza
Mkuu wala usifadhaike moyoni mwako. Hiyo kitu ikija huwezi shindwa kufurahia simu yako. Wala hilo sio tatizo la kusema simu inakasoro maana wameweka resolution ya 720 itakusaidia sana upande wa ukaaji wa chaji.Eee mkuu icho ndo kilichoniponza
Mkuu wala usifadhaike moyoni mwako. Hiyo kitu ikija huwezi shindwa kufurahia simu yako. Wala hilo sio tatizo la kusema simu inakasoro maana wameweka resolution ya 720 itakusaidia sana upande wa ukaaji wa chaji.
Nimepitia reviews mbalimbali naona wanaikosoa kutokuwa na full hd,, na contrast yake sio nzuri
Sasa hapa nabaki njia panda
Hapo mkuu umefunga kaz,hongera kwamimi bei imechangamka kidogoInategemea na matumizi yako, ila kwa mimi niliona hainifai , nikaamua nijikaze kwa mi 9t pop up camera [emoji991] View attachment 1269133
Wadau ushauri kati ya redmi note 7 pro na mi a3 ipi nichukue
Iko poa sana hiyo kituBaada ya kusoma sana review nilielekea kwenye redmi note 7 , na sijajuta kuipata.
Hii simu sio nzuri kama sikosei haina miui. Ule utamu wa xiaomi umeukosaNimesha order jana kitu cha MI A3
Ram -4gb
Internal -128
Iko poa sana hiyo kitu
Tatizo haina AmoledBaada ya kusoma sana review nilielekea kwenye redmi note 7 , na sijajuta kuipata.
Amoled ndo inakuwajeTatizo haina Amoled
kioo cha rangi kama cha samsungAmoled ndo inakuwaje
[emoji50][emoji50] hizi simu kumbe unaweza set all sim zikawa zinatumia LTE at the same time!!!?
Oooh sawa sawakioo cha rangi kama cha samsung