Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Me sijaopen dispute na sijawahi! Mzigo wenyewe wa $2 niopen dispute [emoji16] siku utakapofikia tu sawa sina haraka nao.. View attachment 1272006
Naona haka ka percel kametia timu hapa jijini wacha nikafate [emoji16][emoji16][emoji16] afu hiyo charge ya 2.3k naona ni agizo kabisa kutoka juu... [emoji116]
 
Posta wana risk sana mizigo yetu. Sijaamini kabisa leo kujua kuwa huku wilayani mizigo inatumwa kwenye costa na basi za abiria toka posta za mkoa[emoji17][emoji17]

Jana tracking ikanionesha mzigo umetumwa kuja wilayani, leo nafika naambiwa haujafika. Nikaanza kudadisi kulikoni. Naambiwa konda aliekabidhiwa kajisahau, walifuata asubuhi konda karudi nao mjini, mpk akija jioni tena ndio watapata mizigo.

Roho imeniuma sana yani. Simu yangu inazunguka na makondakta kwenye vibasi? This country
 
Asilimia kubwa posta za wilayani, wanatumia magari ya abiria tu kutuma mizigo, Mfano mizigo inayotoka Lindi Mjini wanatumia gari moja tu ambayo ni saa nne asubuhi ikipita hio ndio basi,.
 
Inasikitisha aisee. Mzigo wa laki 5 huko usafirishwe kizembe hivyo ?
 
Pale kwenye promo code ndo unajaza hizo kama mzigo wako ni zaidi ya usd 150 unaweka friday15 means watapunguza dola 15 kama ni kuanzia usd100 utajaza friday10 watapunguza dola 10 kama ni usd 15 na kuendelea utajaza friday5 watapunguza dola 5
Hii unafanyaje mkuu, yani hizo code unaziweka wapi?
 
[emoji23] Sina mbavu mkuu,ni kweli ukizoea online kitu ambacho ungepata bongo unachukua ghuangzgou na uko radhi kuisubiria 45days
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…